Imewekwa: September 9th, 2025
Halmashauri ya Wilaya ya Ileje inaendelea na zoezi la utambuzi wa mifugo sambamba na utoaji wa chanjo kwa ng’ombe kwa bei ya ruzuku kutoka Serikali Kuu, ambapo mfugaji atachangia kiasi cha Sh. 500 kwa...
Imewekwa: September 4th, 2025
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imeendesha semina maalum kwa wawakilishi wa vyama vya siasa wilayani Ileje, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani utakao...
Imewekwa: September 4th, 2025
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje, Bi Nuru Waziri Kindamba ameongoza kikao cha Menejimenti ya Halmashauri (CMT) kilichoshirikisha pia Watendaji wa Kata zote za Halmashauri hiyo.
...