Imewekwa: August 6th, 2022
Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya Ileje mkoani Songwe limemchagua Mhe.Fahamu Mwampashi Diwani wa Kata ya Itale(CCM) kuwa Makamu Mwenyekiti.
Mhe.Mwampashi amechukua nafasi hiyo...
Imewekwa: August 3rd, 2022
Wakazi wa Kata ya Itale Wilayani Ileje mkoani Songwe wameipongeza serikali kwa kujibu kwa vitendo ombi lao la kujengewa Kituo cha Afya.
Pongezi hizo zinakuja ukiwa umepita karibu mwaka mmoja ...