Imewekwa: November 26th, 2022
Wakuu wa Wilaya za Ileje-Taanzania na Chitipa-Malawi wamekutana katika Makao Makuu ya Wilaya ya Ileje iliyopo mkoa wa Songwe na kuzungumzia masuala mbalimbali kwa lengo la kuimarisha mahusiano katika ...
Imewekwa: November 11th, 2022
Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mhe.Anna Gidarya wakati akifunga mafunzo kwa vijana 104 wa Kata ya Sange Tarafa ya Bundali.
Gidarya ame...
Imewekwa: October 13th, 2022
Katika kujiridhisha namna serikali inavyotekeleza diplomasia ya uchumi kupitia ujenzi wa miundombinu ya barabara Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe.Makame Mbarawa amekagua barabara ya Mpemba-Momba hadi ...