Imewekwa: September 15th, 2020
Wakazi wa Kijiji cha Isongole Wilayani Ileje mkoani Songwe wamepongezwa kwa jinsi wanavyounga juhudi za serikali katika kujiletea maendeleo hususani kwenye ujenzi wa miundo mbinu ya shule.
Pongezi ...
Imewekwa: August 31st, 2020
Zaidi ya Shilingi Milioni 700 za kitanzania zimekopeshwa kwa wanachama wa Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje mkoani Songwe tangu 2016
...
Imewekwa: August 7th, 2020
Mafunzo ya Siku Tatu kwa Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi Mkuu 2020 Ngazi ya Kata katika Jimbo la Uchaguzi la Ileje yameanza leo huku wasimamizi hao wakitakiwa kujiepusha na itikadi za kisiasa i...