• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

SACCOS ya Watumishi Ileje yatoa mikopo ya zaidi ya milioni 700 kwa wananchama

Imewekwa: August 31st, 2020

Zaidi ya Shilingi Milioni 700 za kitanzania  zimekopeshwa kwa wanachama wa Chama  cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje mkoani Songwe tangu 2016

George Kibona mwenyekiti wa chama hicho alibainisha kuwa mwaka 2016 zilikopeshwa jumla ya Shilingi 180,200, 000, mwaka 2017 milioni 177,810,000, 2018 zilikopeshwa milioni 176,140,000  

Kibona ameongeza kuwa mwaka 2019 jumla ya shilingi milioni 162, 2400 000 zilikopeshwa huku tangu Januari hadi Juni mwaka huu zikikopeshwa milioni 29,533 519 huku zaidi ya wanachama 160 wakiendelea kunufaika na uwepo wa chama hicho.

Mwenyekiti huyo,ameongeza kuwa wamekuwa wakitoa huduma bora kwa wanachama kiasi cha kuweza kutunukiwa ngao ya uendeshaji bora wa SACCOS iliyotolewa 2018 na Tume ya Ushirika Tanzania akitoa wito wa watumishi wengine kujiunga na chama hicho.

Taarifa ya chama hicho imeeleza kuwa tangu kuanzishwa kwake mnamo 1994 zaidi ya shilingi Bilioni  1na Milioni 600 zimekopeshwa kwa wananchama wake na kuwawezesha kujenga nyumba za kuishi,kulipa ada za shule na kuanzisha shughuli za ujasiliamali.

Gaspalina Mwakabuta mmoja wa wanachama amesema kuwa amenufaika na SACCOS hiyo kwa kulipa ada za shule za watoto,kuboresha makazi na kuongeza mtaji kwenye ujasiliamali.

 Mafanikio hayo yanakuja sanjali na utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM  ya 2015 iliyolenga kuhakikisha kuwa shughuli zote zenye mwelekekeo wa ushirika zinapewa msukumo stahiki wa kuhamasisha na kusimamia kwa ngyuvu uanzishaji wa vikundi vya ushirika kama vile SACCOS na VICOBA

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa