Afisa Mwandikishaji Jimbo la Ileje, Bi Nuru Waziri Kindamba anawatangazia wananchi wote wa Jimbo la Ileje kuwa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura awamu ya pili utaanza kuanzia tarehe 1 – 7 Mei 2025 katika Vituo vilivyoanisha.
Sifa za kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura
Vituo vya kujiandikisha vitafunguliwa kuanzia saa 2 kamili asubuh hadi saa 12 jioni kwa siku zote saba.
Ewe mwananchi ukijiandikisha utapewa kadi yako ya mpiga kura hapo hapo .
Kumbuka kwa wale ambao hawajahama vituo ama vitambulisho vyao havina shida yoyote hawatahusika na zoezi hili.
Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa