• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Awapokea Madaktari Bingwa wa Samia

Imewekwa: September 15th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mheshimiwa Jabir Omar Makame, ameongoza hafla ya kuwakaribisha Madaktari Bingwa wa Samia waliowasili mkoani humo kwa ajili ya kutoa huduma za kibingwa kwa wananchi. Hafla ya kuwapokea madaktari hao imefanyika mapema leo Septemba 15, 2025 katika Ofisi za Mkuu wa Mkoa zilizopo Nselewa, Wilayani Mbozi, mkoani Songwe.


Katika hafla hiyo, Mheshimiwa Makame amewataka wananchi wa Mkoa wa Songwe kujitokeza kwa wingi kupata huduma hizo muhimu za afya, akibainisha kuwa madaktari hao watakuwa wakitoa huduma katika hospitali zote za wilaya zilizopo mkoani humo.

Aidha, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuendeleza jitihada za kusogeza huduma za afya karibu zaidi na wananchi kupitia mpango huu wa Madaktari Bingwa, ambao umekuwa mkombozi kwa Watanzania wengi hususan walioko vijijini.


Uwepo wa kambi maalumu ya matibabu bingwa kwa wananchi umekuwa agenda ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ya kuhakikisha ustawi wa wananchi kupitia afya unaimarika kwa kusogeza huduma za kibingwa pamoja na unafuu wa huduma.


Madaktari Bingwa waliowasili katika Mkoa wa Songwe ni pamoja na Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Wanawake na Uzazi, Daktari Bingwa wa Watoto na Watoto Wachanga, Daktari Bingwa wa Upasuaji, Daktari Bingwa wa Kinywa na Meno, Daktari Bingwa wa Usingizi na Ngazi, pamoja na Muuguzi Mbobezi. Aidha, timu hiyo ya wataalam wa afya inaanza kambi maalum ya matibabu ya kibingwa kwa wananchi wote wa Mkoa wa Songwe katika hospitali zote za wilaya kuanzia leo Septemba 15 hadi 19, 2025.







Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 09, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • IOM yaendesha semina ya mafunzo kwa wataalamu wa afya Tunduma na Ileje

    September 15, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Awapokea Madaktari Bingwa wa Samia

    September 15, 2025
  • ILEJE YAENDELEA NA ZOEZI LA UTAMBUZI NA CHANJO YA MIFUGO

    September 09, 2025
  • OFISI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA YAENDESHA SEMINA KWA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA ILEJE

    September 04, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa