• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

ILEJE YAENDELEA NA ZOEZI LA UTAMBUZI NA CHANJO YA MIFUGO

Imewekwa: September 9th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Ileje inaendelea na zoezi la utambuzi wa mifugo sambamba na utoaji wa chanjo kwa ng’ombe kwa bei ya ruzuku kutoka Serikali Kuu, ambapo mfugaji atachangia kiasi cha Sh. 500 kwa kila mfugo, huku gharama nyingine ikilipiwa na Serikali. Zoezi hili lina lengo la kudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa homa ya mapafu ya ng’ombe pamoja na kuimarisha afya na ubora wa mifugo.

Akizungumza katika zoezi hilo, Mratibu wa utambuzi na chanjo ya mifugo Wilaya ya Ileje, Dkt. Alfred Richard Kasindi, ametoa wito kwa wafugaji wote kujitokeza kwa wingi kupeleka mifugo yao ili iweze kuchanjwa pamoja na kuwekewa hereni za utambuzi (ear tag). Aidha, Dkt. Alfred amewatoa hofu wafugaji kuwa chanjo hizo ni salama kwa mifugo yao na hazina madhara yoyote. Amesema hatua hiyo ni sehemu ya ajenda ya Serikali katika kuboresha na kuinua sekta ya mifugo ili kuhakikisha wafugaji wanapata mazao bora na yenye tija.

Aidha, Halmashauri ya Wilaya ya Ileje inatarajia kuchanja na kuweka hereni kwa jumla ya ng’ombe 45,000 katika maeneo yote ya wilaya hiyo.

Wafugaji wote wanahamasishwa kuchangamkia fursa hii adimu yenye lengo la kuwainua, kuhakikisha mifugo inazaliana kwa wingi, kuepusha hasara zitokanazo na matibabu endapo mifugo haitopata chanjo, pamoja na kuzuia vifo vya wanyama.





Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 09, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • PAKUA HAPA ORODHA YA MAJINA YA WASIMAMIZI, WASIMAMIZI WASAIDIZI NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA UCHAGUZI MKUU 2025 - JIMBO LA ILEJE

    October 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AWASHUKURU WADAU KWA KUIMARISHA SEKTA YA AFYA

    October 17, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE ASISITIZA ULINZI WA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

    October 16, 2025
  • DED Kindamba Awataka Viongozi wa Vijiji na Vitongoji Kuzingatia Sheria na Utawala Bora

    September 22, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa