• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Information,Communication & Technology

            A : MAJUKUMU YA KITENGO CHA TEHAMA

  • Kutayarisha mpango wa matengenezo ya vifaa na miundombinu ya TEHAMA (Preventive maintenance plan).
  • Kutayarisha na kusimamia mpango wa usalama wa vifaa vya TEHAMA
  • Kusimamia ubora wa viwango kwa vifaa vya TEHAMA.
  • Kusimamia uendelezaji wa matumizi ya TEHAMA katika kuongeza tija na uboreshaji wa huduma zitolewazo.
  • Kufanya kazi nyingine zinazopangwa na mkurugenzi.

         

           B : Hali ya Mifumo ya TEHAMA

Wilaya ya Ileje ina mifumo ya TEHAMA kumi na mbili (12), inayowezesha utendaji na usimamizi wa shughuli mbalimbali za Serikali, Mifumo hii imesaidia kudhibiti upotevu wa mapato ya serikali, kuhifadhi na kuchakata taarifa za kiutumishi, kupanga mipango na bajeti, na kudhibiti matumizi mabaya ya fedha za umma. Baadhi ya mifumo hiyo ni Mfumo wa Kuripoti kazini watumishi, Mfumo wa taarifa za afya na usimamizi wa Mapato (GOTHOMIS), Mfumo wa Utumishi na rasilimali watu (HCMIS), Mfumo wa uthibiti wa malipo (MUSE), Mfumo wa mapato (LGRCIS), Mfumo wa usajili wa wanafunzi kwa shule za msingi (PREM), Mfumo wa mpango wa bajeti (PLANREP), Mfumo wa kusimamia malipo kwa kaya masikini chini ya mpango wa TASAF (PSSN), Mfumo wa mikopo ya asilimia kumi (TPLMIS), Mfumo wa takwimu kwa shule za msingi (Sensa Elimu Msingi-BEMIS), Mfumo wa bima ya afya iliyoboreshwa (IMIS-CHF) na Mfumo wa Facillity Financial Accounting Reporting System (FFARS), Mifumo hii yote inafanya kazi na pindi inapotokea changamoto tunasaidiana na wataalam wa TEHAMA wa TAMISEMI kutatua changamoto zinazojitokeza.

Huduma   za Mawasiliano ya simu na Mitandao  

Hadi sasa Wilaya ya Ileje inapata na kutumia huduma ya mtandao (internet) na kupata mawasiliano ya simu kupitia mitandao ya simu ya TTCL, VODACOM, TIGO, AIRTEL na HALOTEL.

 

Tovuti za Halmashauri 

Wilaya ya Ileje imefanikiwa kuanzisha tovuti ya wilaya inayopatikana kupitia tovuti ya Halmashauri ya Wilaya  kwa jina la  www.ilejedc.go.tz. Tovuti hii inaendeshwa na Halmashauri kwa ushirikiano wa kitaalam na mamlaka ya serikali mtandao (eGA). Tovuti hii inasaidia kurahisisha mawasiliano kati ya jamii na Halmashauri.


Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • KAMATI YA FUM YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI ILEJE

    May 19, 2025
  • Katika tarafa ya Bulambya, kamati hiyo ilikagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) katika hospitali ya wilaya – Itumba, ambapo halmashauri imepokea shilingi milioni 350 kwa ajili ya kukamilisha mradi huo ambao umefikia asilimia 80 ya ut

    May 19, 2025
  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa