• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

MKUU WA WILAYA YA ILEJE AWASHUKURU WADAU KWA KUIMARISHA SEKTA YA AFYA

Imewekwa: October 17th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Ileje, Mheshimiwa Farida Mgomi, ametoa shukurani kwa wadau wa maendeleo kwa mchango wao mkubwa katika kuimarisha ustawi wa Watanzania kupitia miradi mbalimbali ya kijamii, hususan katika sekta ya afya.

Akizungumza wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Itete, ujenzi unaofadhiliwa na wadau wa maendeleo wakiongozwa na Dkt. Innocent Mhagama, mzawa wa kijiji hicho, kwa kushirikiana na Shirika la Antonia Development Fund kutoka Uholanzi, Mheshimiwa Mgomi alisema hatua hiyo ni ya kupongezwa kwani inaleta tija kwa wananchi wa Ileje.

Aidha, Mkuu wa Wilaya huyo aliwapongeza wadau hao kwa kujitolea kuwekeza katika sekta ya afya, akisisitiza kuwa serikali itaendelea kushirikiana nao bega kwa bega kuhakikisha ujenzi wa zahanati hiyo unakamilika kwa wakati na kuanza kutoa huduma bora kwa wananchi wa Kijiji cha Itete na maeneo jirani.

Vilevile, Mheshimiwa Mgomi amewapongeza wananchi wa Kijiji cha Itete kwa kujitolea kwa hali na mali katika kuhakikisha jengo la zahanati hiyo linasimama, akibainisha kuwa ushirikiano huo ni kielelezo cha umoja na uzalendo katika kuunga mkono juhudi za serikali.

Aidha, aliwahakikishia wananchi kuwa serikali itaendelea kuboresha sekta ya afya kwa ushirikiano yakinifu na wadau wa maendeleo, ili kufanikisha adhima ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye amedhamiria kuimarisha sekta ya afya kama msingi wa maendeleo endelevu ya taifa kwa ujumla.



Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 09, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AWASHUKURU WADAU KWA KUIMARISHA SEKTA YA AFYA

    October 17, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE ASISITIZA ULINZI WA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

    October 16, 2025
  • DED Kindamba Awataka Viongozi wa Vijiji na Vitongoji Kuzingatia Sheria na Utawala Bora

    September 22, 2025
  • IOM yaendesha semina ya mafunzo kwa wataalamu wa afya Tunduma na Ileje

    September 15, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa