• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

VIJANA ILEJE WAKOPESHWA TZSH.MILIONI 100,200,000 SIKU YA MAMA SAMIA

Imewekwa: March 19th, 2022

18/03/2022      Na,Daniel Mwambene Ileje                             maadhimisho

Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mkoani Songwe Mhe.Anna Gidarya amekabidhi mikopo yenye thamani ya Tzsh.Milioni 100,200,000 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya mwaka mmoja wa uongozi wa Mama Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania

Hayo yamejili  Ijumaa 18,Machi,2022 wakati Wilaya hiyo ikiadhimisha Mwaka mmoja wa uongozi wa Mama Samia Suluhu Hassan baada yaa kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati John Pombe Magufuli.

Akikabidhi sehemu ya mikopo hiyo ambazo ni pikipiki 10 na bajaji 2 pamoja na mfano wa hundi ya thamani ya pesa hiyo Mkuu wa Wilaya Mhe.Anna Gidarya alilitaka Jeshi la Polisi wilayani humo kuwaongezea elimu  ya Usalama wa Barabarani vijana hao ili kupunguza ajali ambazo zimekuwa zikiwaandama bodaboda mara kwa mara.

Mhe.Gidarya aliongeza kuwa mikopo hiyo imewafikia walengwa kwa sababu ya mfumo mzuri wa uongozi wa Mhe.Samia Suluhu Hasaan Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Akisoma taarifa ya Wilaya ya Ileje kweny viwanja vya Stendi ya IItumba Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Ndg.Matias Mizengo alisema kuwa kiasi cha Tzsh.6,316,446,139.55 zimepokelewa kuanzia mwezi Machi 2021 hadi Machi 2022 kwaajili ya kutekeleza Miradi ya sekta ya Elimu Msingi na Sekondari pamoja na Afya.

Awali Afisa Maendeleo ya Jamii wa wialaya hiyo Ndg.Rodrick Sengela akisoma taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi katika kuwawezesha vijana,wanawake na watu wenye ulemavu alisema kuwa jumla ya vikundi vya vijana 11 na watu wenye ulemavu wawili vimekopeshwa kiasi hicho cha pesa kwa kipindi cha 2021/2022.

Akizungumza kwa niaba ya vijana wenzake waliopata mikopo ya pikipiki Daud Mwanja aliishukuru serikali kwa jinsi  inavyotoa elimu ya mikopo kupitia Idara ya maendeleo ya Jamii.

Kabla ya kuelekea kwenye viwanja hivyo vya maadhimisho Mkuu wa Wilaya aliongoza viongozi wa wilaya hiyo  na wakazi wa Kijiji cha Isongole ujenzi wa shule mpya ya Msingi katika Kitongoji cha Ipapa ambayo imekumbwa na ubovu wa barabara inayofika kwenye mradi huo baada ya kupokea Tzsh.Milioni 400.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa