• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Isongole wapongezwa kwa ujenzi wa Miundombinu ya shule

Imewekwa: September 15th, 2020

Wakazi wa Kijiji cha Isongole Wilayani Ileje mkoani Songwe wamepongezwa kwa jinsi wanavyounga juhudi za serikali katika kujiletea maendeleo hususani kwenye ujenzi wa miundo mbinu ya shule.

Pongezi hizo zilitolewa  na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Ndg.Haji Mnasi alipotembelea shule za Msingi Isongole na Mkumbukwa akikagua ujenzi wa vyumba vya madarasa pamoja na matundu ya vyoo baada ya serikali kumwaga mamilioni ya pesa kwaajili ya kazi hiyo.

Akiwa katika Shule ya Msingi Isongole Mnasi aliweza kujionea ujenzi unaozingatia maagizo ya serikali ambapo zaidi ya matundu 42 ya vyoo yanatarajiwa kujengwa yakiwa ni matokeo ya pesa zilizotolewa na serikali pamoja na nguvu za wananchi.

Akiwa katika shule  ya Msingi Mkumbukwa alifurahishwa kuwakuta wananchi wakiwa eneo la kazi huku mafundi wakizingatia maelekezo ya serikali.

Akizungumza na wananchi hao aliwataka kutambua kuwa fedha zinazotolewa na serikali ya Awamu ya Tano hii hazina budi kusimamiwa vema ili kunufaisha kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

Kissa Kyalamwene Mwalimu Mkuu wa shule alimweliza kiongozi wake kuwa wamefikia katika hatua hiyo ya ujenzi kwasababu ya mshikamano baina ya viongozi na wananchi kwa ujumla.

Naye Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Isongole Bi Nelly Mfwango aliongeza kuwa kukamilika kwa ujenzi wa vyoo na madarasa kutaongeza chachu ya ufundishaji na ujifunzaji kwa vile shule hiyo inakabiriwa na mlundikano wa wananfunzi.

Akizungumza na kituo hiki kwenye ziara hiyo Kaimu Afisa Elimu Msingi Mwl.Bashiri Msegeya amesema kuwa jumla ya shilingi 131,598,643.56 zimetolewa kwa shule hizo mbili kwaajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa na matundu ya vyoo.

Ziara ya kiongozi huyo iliishia katika Hospitali ya Wilaya ambapo aliweza kukutana na uongozi hospitali hiyo,kukagua majengo na kutoa maagizo ya kukamilisha maeneo yanayowahusu ili wananchi waanze kupata huduma badala ya kuendelea kuyaangalia tu majengo yasiyotoa huduma

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa