• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Serikali yaipongeza Ileje kwa kuzalisha karanga zenye ubora

Imewekwa: September 15th, 2020

Serikali imewapongeza wakulima wa Wilaya ya Ileje Mkoani Songwe kwa jinsi wanavyochangia katika kuinua sekta ya kilimo hapa nchini.

Pongezi hizo zimetolewa mapema leo Jumatatu Septemba14,2020 kwa nyakati mbili tofauti na Naibu Waziri wa Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika Mhe.Omary Mgumba wakati wa ziara ya siku moja ya kuangalia msimu mpya wa ununuzi wa mahindi kwenye soko la Isongole.

Akizungumza kwenye Ofisi za Mkuu wa Wilaya Waziri huyo amesema kuwa aina ya karanga zinazozalishwa wilayani humo imekuwa maarufu sana hapa nchini na kwa nchi jirani kiasi cha kuvunja soko la karanga za aina nyingine huku likiitangaza vema wilaya ya Ileje na Nyanda za Juu Kusini kwa ujumla.

Akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara kwenye soko la Isongole waziri Mgumba amesema serikali ipo tayari kuunga juhudi hizo za wakulima kwa kuwatengenezea mipango itakayowawezesha kuzalisha zaidi ili kuondokana na umaskini.

Ameitaja mipango hiyo kuwa ni pamoja na kujenga miundombinu ya barabara ikiwemo ya Mpemba Isongole inayojengwa kwa kiwango cha lami ,ujenzi wa masoko,maghala pamoja na vihenge vya kuhifadhia mazao hayo.

Joseph Nyembele mmoja wa wakulima wa Isongole ameiomba serikali kuharakisha kununua mazao ya wakulima kila msimu wa mavuno unapomalizika ili kuwawezesha wakulima hao kufanya shughuli zao za maendeleo zikiwemo ada za shule na vyuo kwa watoto.

Taarifa ya kilimo ya wilaya hiyo iliyosomwa kwake na Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo Ndugu Haji Mnasi ilieleza kuwa wilaya hiyo ina jumla ya hekta 190,800 huku eneo linalofaa kwa kilimo ni hekta 101,600 ambapo kwa msimu wa kilimo wa 2019/2020 hekta 72,223 ziliweza kulimwa na kupata jumla ya tani 348,211.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa