• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Mkuu wa Mkoa akagua miradi 12 ya maendeleo yenye thamani ya Tzsh.8,983,353,229.21

Imewekwa: May 10th, 2023

Katika kuhakikisha kuwa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) inatekelezwa ili kufikia malengo yake ya 2020/2025 jumla ya Miradi ya Maendeleo 12 imekaguliwa na Mkuu wa Mkoa wa Songwe Dkt.Francis Michael akiongozana na timu yake hapa wilayani Ileje.

Akizungumza katika maeneo ya miradi Dkt.Michael alipongeza juhudi zinazofanywa na wananchi katika  kutoa nguvu zao kwenye ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo kama vile afya na elimu akiongeza kuwa mchango wao huo lazima utambuliwe na kuthaminishwa.

Aliongeza kuwa,miradi ya maendeleo ikitekelezwa ovyo lawama zote zinaelekezwa kwa serikali,hivyo ni jukumu la kila mtumishi wa serikali kuhakikisha kuwa anatimiza wajibu wake ili kujenga taswira nzuri ya serikali kwa wananchi wake.

Pamoja na mambo mengine kiongozi huyo alisistiza watumishi kujiamini kwenye nafasi zao za uongozi  huku wakijua kuwa kufanikiwa kwao katika ngazi moja kunaweza kuwapeleka katika ngazi nyingine kubwa zaidi ya uongozi.

Naye Katibu Tawala wa Mkoa huo Mhe.Happiness Seneda alieleza kufurahishwa kwake na utekelezaji wa maagizo kwenye baadhi ya miradi hususani katika hospitali ya wilaya kwenye jengo la mionzi akisema hatua iliyofikiwa ni nzuri na inaashiria kuanza karibuni kwa utoaji wa huduma ya X - Ray ambalo ni tatizo kubwa la kimkoa.

Aidha Mhe.Seneda alipongeza uongozi wa shule ya sekondari ya wasichana ya Ileje iliyopo Kata ya Chitete kwa jinsi wanavyowalea wanafunzi kuwa wasafi katika mabweni yao akisisitiza waendelee pia kuwalea katika maadili ya Kitanzania.

Ziara hiyo ya siku moja ilikuwa na makundi mawili ya viongozi wa mkoa na wilaya,moja likiongozwa na Mkuu wa mkoa na jingine likiongozwa na Katibu Tawala wa Mkoa na kuwezesha kukagua miradi hiyo 12 yenye thamani ya Tzsh.8,983,353,229.21/=.

Lengo la ziara hiyo ilikuwa ni kuona hali halisi,ubora wa miradi,muda wa utekelezaji uliopangwa,taratibu za manunuzi,changamoto,ushirikishwaji wa wananchi katika miradi ya maendeleo pamoja  utekelezaji wa maagizo8, ya miradi husika.

Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 09, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • UZINDUZI WA UJENZI WA BARABARA ISONGOLE – ISOKO WILAYANI ILEJE

    June 13, 2025
  • Wazazi Watakiwa Kuwalinda Watoto na Kuwezesha Ndoto Zao

    June 13, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Ampongeza Afisa wa Maendeleo kwa Ukusanyaji Bora wa Marejesho ya Mikopo

    June 10, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Aipongeza Halmashauri ya Ileje kwa Kupata Hati Safi

    June 10, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa