• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

DC MGOMI WA ILEJE AKAGUA MAANDALIZI YA UMITASHUMTA MKOA WA SONGWE

Imewekwa: May 15th, 2023

Yakiwa yamebaki masaa machache kabla ya wapatao700 kuwasili wilayani Ileje kwaajili ya michezo ya UMITASHUMTA Mkoa wa Songwe kwenye viunga vya Ileje Sekondari na Mbagatuzinde Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe.Farida Mgomi ametembelea kituo hicho na kujionea hali ya maandalizi.

Akizungumza na timu ya wanafunzi,makocha pamoja na maafisa Elimu Msingi katika kituo hicho Mhe.Mgomi amesisitiza juu ya wasimamizi wa wanafunzi hao kuhakikisha wanalinda usalama wao ili kuwaepusha dhidi ya vitendo vya unyanyasaji vinavyoweza kutokea katika mkusanyiko huo.

Amewasisitiza wanafunzi hao wa shule za msingi ambao wate ni watoto wanaohitaji uangalizi wa karibu kuwa wasiwe wanakaa kimya pindi wanapofanyiwa vitendo vya ukatili na mtu yeyote wakati wa mashindano hayo na hata watakaporudi makwao bila kujali mahusiano yao hata kama ni mzazi.

Amewataka pia wanafunzi hao kuwapokea wenzao kutoka halmashauri zote tano za Mkoa wa Songwe ili michezo hiyo iwe sehemu ya kuitangaza vema wilayani,huku akiwataka kuiletea ushindi wilaya badala ya kuwa waandaaji tu na washiriki.

Hapo kesho Jumanne 16, Mei, 2023 wamamichezo wa shule za msingi kutoka halmashauri zote za mkoa huu watawasili tayari kwa michezo inayotarajiwa kuanza hapo Mei, 17,2023

Michezo mbalimbali inatarijwa kushindaniwa likiwemo soka kwa wavulana na wasichana riadha,mpira wa pete,kikapu,wavu kwaya muziki wa kizazi kipya na michezo mingine.

Akizungumza wakati wa kumribisha kiongozi huyo Afisa Elimu Msingi Mwl.Fikiri Mguye amesema kuwa timu zote zimeandaliwa vema na walimu (makocha) 12 ambao walishiriki kuchagua wachezaji na kuandaa timu hizo.

Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 09, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • UZINDUZI WA UJENZI WA BARABARA ISONGOLE – ISOKO WILAYANI ILEJE

    June 13, 2025
  • Wazazi Watakiwa Kuwalinda Watoto na Kuwezesha Ndoto Zao

    June 13, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Ampongeza Afisa wa Maendeleo kwa Ukusanyaji Bora wa Marejesho ya Mikopo

    June 10, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Aipongeza Halmashauri ya Ileje kwa Kupata Hati Safi

    June 10, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa