• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Waziri Mbarawa atembela mpaka wa Tanzania na Malawi

Imewekwa: October 13th, 2022

Katika kujiridhisha namna serikali inavyotekeleza diplomasia ya uchumi kupitia ujenzi wa miundombinu ya barabara Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe.Makame Mbarawa amekagua barabara ya Mpemba-Momba hadi Isongole-Ileje km 50.3 iliyojengwa kwa kiwango cha ikigharimu Tzsh.bilioni 107

Ziara hiyo ya siku moja ilimwezesha kufika hadi kwenye daraja la Mto Songwe linalounganisha Tanzania na Malawi huku akipata fursa ya kukutana na viongozi wa Wilaya ya  Chitipa- Malawi waliokuwa na ziara pia katika mpaka huo.

Akizungumza kwa nyakati tofauti na viongozi wa Wilaya ya Ileje,Chitipa - Malawi pamoja na wakazi wa Kijiji cha Isongole Mhe.Mbarawa amewataka wakazi wa pande hizo mbili kutumia vema fursa zinazotokana na uwepo wa barabara hiyo ya kisasa.

Aliongeza kuwa ujenzi wa barabara hiyo umetumia teknolojia ambayo imetumiwa sehemu tatu tu hapa nchini ambazo ni kule Makete pamoja na Tabora.

Amesema kuwa gharama hizo kubwa za ujenzi zinaonesha dhamira ya serikali katika kufungua milango a biashara mpakani,akitoa wito kwa wote katika kuitunza kwa kuepukana na vitendo vinavyoharibu barabara.

Pamoja na mambo mengine waziri huyo alitoa ufafanuzi wa kero,maswali na maoni yaliyotolewa na wananchi likiwemo la ufungaji wa taa katika barabara hiyo.

Viongozi wa Wilaya hiyo wameendelea kutoa pongezi kwa serikali kutokana na mradi huo mkubwa pamoja na miradi mingine katika sekta mbalimbali.

Mhe.Anna Gidarya amesema kuwa mapato ya halmashauri yamekuwa yakipanda siku hadi siku kutokana na barabara hiyo.

Tangu kukamilika kwa barabara hiyo fursa za kibiashara hususani ya chakula toka nchi za Malawi,Zambia na Msumbiji zimeongezeka.

Ziara za viongozi wa serikali katika maeneo mbalimbali hapa nchini hulenga katika kufuatilia namna Ilani ya Uchaguzi ya CCM inavyotekelezwa katika kuwaletea wananchi maendeleo

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • KAMATI YA FUM YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI ILEJE

    May 19, 2025
  • Katika tarafa ya Bulambya, kamati hiyo ilikagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) katika hospitali ya wilaya – Itumba, ambapo halmashauri imepokea shilingi milioni 350 kwa ajili ya kukamilisha mradi huo ambao umefikia asilimia 80 ya ut

    May 19, 2025
  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa