• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

"Watumishi wa umma ni wawakilishi wa Rais igeni utendaji kazi wake" David Kafulila asema

Imewekwa: September 26th, 2019

Watumishi wa Umma mkoani Songwe watakiwa kuiga  utendaji kazi wa Rais Magufuli

‘’Ukishaajiriwa serikalini katika ngazi yoyote ya uongozi ujue kuwa wewe ni mwakilishi wa Rais wa nchi yetu katika eneo lako”ni maneno ya Katibu Tawala wa  mkoa wa Songwe Ndg.David Kafulila kwa watumishi wa  mkoa huo.

Kiongozi huyo aliyasema hayo alipozungumza na watumishi wa umma wa Kata za Itumba na Isongole kwenye Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje akiwa katika mfululizo wa ziara zinazomkutanisha na watumishi anaowaongoza mkoani humo.

Alisema  kuwa,utendaji kazi wa watumishi wa umma ulenge kuwapunguzia kero wananchi badala ya kusubiri zitatuliwe na viongozi wa ngazi za juu huku wakiwa na uwezo wa kufanya hivyo.

Ameongeza kuwa kama wananchi wanavyopata tumaini na faraja wanapokutana na Mhe.Rais Magufuli hali hiyo iendelezwe hata kwa vingozi wa ngazi za chini ambazo zinatekeleza maagizo ya serikali iliyopo madarakani.

Pamoja na mambo mengine Ndg.Kafulila aliwataka watumishi wa umma kutojiingiza kwenye migogoro ya kisiasa hususani inapotokea kati ya mwajiri wao na viongozi,akiwataka kuwa chanzo cha utatuzi wa migogoro hiyo.

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi mara baada ya kikao hicho kiongozi huyo aliyeteuliwa kushika wadhifa huo kwenye mkoa mchanga hapa nchini amekuwa akekerwa na utendaji kazi wa mazoea unaochelewesha huduma kwa wananchi.

Kwa upande wao watumishi hao walimweleza namna utendaji kazi wao unavyokwama na kushindwa kufikia malengo yaliyokusudiwa ukiwemo upungufu wa watumishi wenyewe pamoja na uhaba wa vitendea kazi.

Gloria Kang’oma Afisa Elimu Sekondari alisema kuwa uhaba wa walimu wa masomo ya sayansi limekuwa tatizo kukiwa na mahitaji ya walimu 139 waliopo ni 83  wakipungua walimu 56 hali aliyosema inakwamisha kuzalisha wanasayansi wa badaye.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • KAMATI YA FUM YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI ILEJE

    May 19, 2025
  • Katika tarafa ya Bulambya, kamati hiyo ilikagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) katika hospitali ya wilaya – Itumba, ambapo halmashauri imepokea shilingi milioni 350 kwa ajili ya kukamilisha mradi huo ambao umefikia asilimia 80 ya ut

    May 19, 2025
  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa