• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Waomba wanandoa kuvumiliana ili kutovuruga malezi ya watoto

Imewekwa: November 17th, 2021

Zikiwa ni siku chache zimepita tangu Mkuu wa Wilaya ya Ileje apige marufuku mikesha ya makanisani kwa watoto chini ya miaka 18, wilaya hiyo imekuwa miongoni mwa wilaya zilizofanyiwa majaribio ya jumbe za kuelimisha wazazi na walezi kuhusu malezi chanya kwa watoto hapa nchini.

Hayo yamesemwa na Afisa Maendeleo ya Jamii Mkuu toka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Ndg.Matias Haule alipokuwa akizungumza na watalaam wa Idara hiyo katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje.

Afisa huyo ameitaja mikoa itakayopitiwa na zoezi hilo kuwa ni Songwe,Kigoma na Mbeya huku akizitaja Hamashauri za Wilaya ya Ileje,Mji Tunduma na Songwe kunufaika pia katika mkoa wa Songwe.

 Akizungumzia marufuku ya mikesha kwa watoto chini ya miaka 18 iliyotolewa na Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mhe.Anna Gidarya hivi karibuni inayolenga kumlinda mtoto dhidi ya vitendo vya unyanyaswaji na kuongeza ufaulu kwa wanafunzi wa Shule za Msingi na sekondari Haule amesema.

Naye Rodrick Sengela Afisa Maendeleo ya Jamii Wilayani humo  amevitaja vijiji vya Ilulu,Ikumbilo na Mtima kuwa vitahusika na majaribio hayo.

Wakizungumza wakati wa zoezi hilo baadhi ya wananchi walioshiriki kutoa maoni yao katika Kijiji cha Mtima Kata ya Mbebe wamesema kuwa kutengana kwa wanadoa kumekuwa kikwazo kikubwa katika malezi ya watoto.

Pendo Mwang’ambaamesema kuwa ndoa inapovunjika husababisha watoto kuyumba kimalezi na kuharibu mwelekeo wa maisha yao.

Ikumbukwe kuwa serikali,taasisi binafsi na wadau mbalimbali kwa pamoja wanachukua kila hatua katika kuwapigania watoto,hususani wa kike dhidi ya vitendo vinavyohatarisha usalama wao ukiwemo ubakwaji,mimba za utotoni ajira za watoto pamoja na kukatishwa masomo. 

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa