• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

UPANUZI WA MRADI WA MTANDAO WA BOMBA KUTOKA ISONGOLE - ILULU

Imewekwa: March 10th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mheshimiwa Farida Mgomi, amemtaka Mkandarasi anae husika na upanuzi wa Mtandao wa Bomba la maji kutoka Isongole Kwenda Ilulu  kuzingatia Muda na Ubora ili kufanikisha mradi huo,utakaondoa zahama ya wananachi kukosa huduma ya maji Safi na salama  katika Kijiji cha Ilulu.

Akizungumza mapema leo Machi 3, 2025 wakati wa Hafla ya utiaji Saini mkataba wa makubaliano ya utekelezwaji wa Mradi wa Upanuzi wa Mtandao wa Bomba kutoka Isongole Kwenda Ilulu  uliofanywa kati ya Mamlaka ya Majisafi  na Usafi wa Mazingira (RUWASA) na Mkandarasi kutoka Kampuni ya Bapi Groups Company Limited Jvnail It Construction Limited, DC Mgomi amewahmiza watekelezaji wa mradi huo kuhakikisha unakamilika kwa muda ili wananchi wa Kijiji cha Ilulu wapate maji safi na salama .

Aidha Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya amemtaka Mkandarasi huyo kuzingatia thamani ya fedha ya utekelezwaji wa mradi huo utakaoleta tija kwa wananchi, katika hatua nyingine dc Mgomi  ameahidi kumpa ushirikiano Mkandarasi ili kufanikisha kukamilika kwa mradi huo.

Mkataba wa Mradi wa upanuzi wa Mtandao wa Bomba kutoka Isongole kwenda Ilulu umegharimu kiasi cha shilingi 1,435,148,951.50/= ambapo utatekelezwa kwa kipindi cha muda wa miez 15 mara baada ya kusainiwa kwa mkataba. Aidha mradi huo unatarajia kunufaisha Wakazi wapatao 1653 waishio katika Kijiji cha ilulu kwa kupata huduma ya  maji Safi na Salama.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa