• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

NAIBU WAZIRI WA TAMISEMI AFUNGUA RASMI MASHINDANO YA SHIMISEMITA 2025 JIJINI TANGA

Imewekwa: August 23rd, 2025

Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Zainab A. Katimba ameyafungua rasmi mashindano ya Shirikisho la Michezo ya Serikali za Mitaa (SHIMISEMITA) kwa mwaka 2025 yanayofanyika jijini Tanga.

Akizungumza katika ufunguzi huo, Mhe. Katimba ametoa rai kwa washiriki wa mashindano hayo kutumia fursa ya michezo kuimarisha mahusiano mazuri baina yao pamoja na kuzitangaza Halmashauri zao kupitia ushiriki wa mashindano mbalimbali. Aidha, amewataka watumishi wote kutumia michezo kama njia ya kuimarisha afya, kuongeza ukakamavu, bidii kazini na kuendeleza uzalendo sambamba na mahusiano bora kwa wananchi.

Vilevile, amewaagiza Wakurugenzi na Makatibu Tawala wa Mikoa kuhakikisha mashindano haya yanapewa kipaumbele kwa kuwawezesha watumishi kushiriki kikamilifu, kwani ni sehemu muhimu ya kujenga mshikamano na mshikamanio wa kitaifa.

Aidha, akirejea kauli mbiu ya mashindano haya isemayo “Jitokeze Kupiga Kura kwa Maendeleo ya Michezo”, Naibu Waziri amewataka watumishi kuwa mabalozi wazuri kwa wananchi kwa kuwahamasisha kujitokeza kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 ili kupata viongozi bora

Mashindano haya ya SHIMISEMITA yanatarajiwa kuhitimishwa tarehe 29 Agosti 2025, ambapo jumla ya Halmashauri 150 zinashiriki katika michezo mbalimbali. Mashindano haya makubwa yanalenga kudumisha mshikamano, mahusiano na mshikamanio miongoni mwa watumishi wa Serikali za Mitaa nchini Tanzania.



Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 09, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • NAIBU WAZIRI WA TAMISEMI AFUNGUA RASMI MASHINDANO YA SHIMISEMITA 2025 JIJINI TANGA

    August 23, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AFANYA ZIARA YA MAANDALIZI YA NANENANE MBEYA

    July 15, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Ileje Atoa Rai kwa Wafanyabiashara Kuchangamkia Fursa ya Uwekezaji wa Vituo vya Mafuta

    July 12, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA KUTOA PONGEZI KWA WATAALAM

    July 10, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa