• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

TUNAISHUKURU SERIKALI KWA KUENDELEA KUTOA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO

Imewekwa: February 14th, 2025

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Ileje , limempongeza na kumshukurcu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa Fedha za  miradi mbalimbali ya maendeleo inayoleta Tija na Ahueni kwa Wananchi katika Wilaya hii.

 Wakizungumza mapema leo February 13,2025 wakati wa Kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri wilayani hapa, Madiwani hao wameipongeza  Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kuimarisha ustawi wa Wananchi wa Wilaya hii kupitia Fedha mbalimbali za miradi ya maendeleo zinatolewa  pamoja na usimamizi  mzuri wa watendaji wa Serikali  ili kuhakikisha Miradi hiyo inafanya kazi na kuleta tija kwa Wananchi.

 Aidha wamempongeza Mkuu wa Wilaya hii Mheshimiwa Farida Mgomi pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri   B. Nuru Waziri Kindamba kwa kuendelea kusimamia na kutekeleza vyema Miradi ya Serikali  kwa kuzingatia Ufanisi, Ubora na Weledi ili kuhakikisha inaleta manufaa kwa wananchi wilayani hapa.

Katika Hatua nyingine , Baraza la Madiwani limemtaka Mkurugenzi Mtendaji kuendelea kusimamia na kuhakikisha Miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Wilaya hii inakamilika kwa wakati, aidha wamewahimiza watumishi wa Halmshauri ya wilaya ya ileje kuendelea kutimiza majukumu yao ipasavyo kwa kufanya kazi kwa bidi pamoja na kuzingatia nidhamu ya kazi.

Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 09, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI ILEJE AFUNGUA SEMINA YA MAFUNZO YA MFUMO WA SIS

    January 14, 2026
  • PAKUA HAPA ORODHA YA MAJINA YA WASIMAMIZI, WASIMAMIZI WASAIDIZI NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA UCHAGUZI MKUU 2025 - JIMBO LA ILEJE

    October 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AWASHUKURU WADAU KWA KUIMARISHA SEKTA YA AFYA

    October 17, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE ASISITIZA ULINZI WA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

    October 16, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Toto Slot
  • KOI200
  • Toto Slot
  • DORA77
  • Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Slot Gacor
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • AXL777
  • situs toto
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • situs toto
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • situs toto
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200