• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

TAASISI ZA ELIMU ILEJE ZATAKIWA KUZALISHA RAIA WEMA

Imewekwa: October 17th, 2017

Na: Daniel Mwambene, Ileje

Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mhe.Joseph Mkude alipokuwa akizungumza kwenye Mahafali ya Kwanza ya Kidato Cha Kwanza katika Shule ya Consolata


Mkuu wa Wilaya ya Ileje mkoani Songwe Mh.Joseph Mkude amazitaka taasisi za elimu wilayani humo kuzalisha raia wema watakaokuwa mfano wa kuigwa katika jamii.

Alitoa wito huo wakati wa Mahafali ya kwanza ya Kidato cha nne ya Shule ya Consolata Iliyopo kata ya Chitete ikimilikiwa na Kanisa Katoliki Jimbo la Mbeya.

Kiongozi huyo alizitaka shule kutozalisha raia watakaokuwa watumiaji wa madawa ya kulevya yanayoharibu tabia za vijana na kuwa mzigo kwa jamii na Taifa kwa ujumla.

Alisema shule ni mahali ambapo hutoa elimu dunia na elimu ya kiroho hivyo wahitimu wa taasisi hizo hawana budi kuwa vioo kwa tabia na mienendo yao katika kuunga juhudi za serikali kupambana  na madawa ya kulevya.

Hata hivyo,mkuu wa Wilaya alifurahishwa na jinsi uongozi wa shule hiyo unavyotumia vema rasilimali zilizopo ikiwa ni pamoja na kuchimba visima vya maji,ufugaji wa kuku akiahidi kushirikiana nao katika zoezi la upandaji miti msimu wa mvua utakapoanza.

Kwa upande wao walimu na wanafunzi wa shule hiyo waliahidi kufanya vema kwenye Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Nne unaotarajiwa kufanyika siku chache zijazo.

Akisoma risala yao kwa Mgeni Rasmi mwanafunzi wa kidato cha nne Jastini fungu alisema kuwa katika mitihani ya iliyopita ule wa kidato cha pili nay a utimilifu kwa mkoa wa Songwe walikuwa wakifanya vizuri ,hivyo wataibeba wilaya ya Ileje.

Hata hivyo shule hiyo imekuwa ikikabiriwa na matatizo kadhaa yanayopunguza kasi ya kufika malemgo yaliyokusudiwa likiwemo kukosa uzio imara,vifaa vya michezo na vyoo bora kwa walimu.

Shule ya Consolata ilianza ikiwa na wanafunzi 88 wakiwemo wa kike 48 na wa kiume40 kwasasa ina jumla ya wanafunzi 350.

Mambo yalivykuwa ukumbini, wahitimu wahitmu wa Kidato cha nne wakiburudisha kwenye mahafali ya
Kwanza Oktoba, 14, 2017.


Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 09, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • UZINDUZI WA UJENZI WA BARABARA ISONGOLE – ISOKO WILAYANI ILEJE

    June 13, 2025
  • Wazazi Watakiwa Kuwalinda Watoto na Kuwezesha Ndoto Zao

    June 13, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Ampongeza Afisa wa Maendeleo kwa Ukusanyaji Bora wa Marejesho ya Mikopo

    June 10, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Aipongeza Halmashauri ya Ileje kwa Kupata Hati Safi

    June 10, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa