• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Songwe wajiandaa kutekeleza Ilani ya Uchaguzi

Imewekwa: December 14th, 2020

Katika kuhakikisha Mkoa wa Songwe unawaletea wananchi maendeleo Mkuu wa Mkoa huo Bigedia Jenerali Nicodemas Mwangela ameridhishwa na kasi ya utendaji inayooneshwa na baadhi ya viongozi wakiwemo Wahe.Wabunge tangu kuchaguliwa kwao mwishoni mwezi Oktoba 2020.

Akizungumza katika kikao cha ufunguzi wa Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje  mapema leo Ijumaa 11/12/2020 katika ukumbi wa Sekondari ya Itumba alisema kuwa anaridhishwa na kasi ya Wahe.Wabunge katika kuwahudumia wananchi hata kabla ya kuapishwa kwao.

Mwangela aliongeza kuwa juhudi za Mhe.Rais Magufuli katika kuwatumikia watanzania hazina budi kuungwa mkono na Wahe.Madiwani kwa kushirikiana na watalaam wa maeneo yao wakiwa wabunifu kulingana na maeneo yao pamoja na rasilimali zilizopo.

Pamoja na mambo mengine RC huyo aliwataka wateule hao kusimamia mapato na kulinda hadhi ya serikali kwa kujiepusha na mambo ya aibu ambayo huwagharimu wakati wa uchaguzi.

Aidha,aliwataka viongozi  kushikamana katika kuandaa vyumba vya madarasa pamoja na madawati ili kuwawezesha wanafunzi waliochaguliwa kuingia Kidato cha Kwanza 2021 wanafanya hivyo ukiwa ni utekelezaji wa maagizo ya serikali pamoja na kuwawezesha watoto hao kupata elimu ambayo ni moja ya haki zao.

Joseph Mkude Mkuu wa Wilaya hiyo akizungumza katika kikao hicho aliwataka Wahe.Madiwani  kuachana na fikra za Mchaguzi Mkuu uliopita badala yake wajielekeze katika kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya 2020-2025.

Mohamed Mwala Diwani wa Kata ya Itumba aliwaomba madiwani wenzake kuzungumzia maslahi ya Halmashauri badala ya wilaya ya kata,kanda na tarafa.

Zoezi la kuapishwa kwa Wahe.Madiwani mkoani Songwe na hapa nchini kwa ujumla limekuwa likiendelea ili kuhalalisha nafasi hizo za uongozi zilizopatikana kupitia sanduku la kura.

Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 09, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • UZINDUZI WA UJENZI WA BARABARA ISONGOLE – ISOKO WILAYANI ILEJE

    June 13, 2025
  • Wazazi Watakiwa Kuwalinda Watoto na Kuwezesha Ndoto Zao

    June 13, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Ampongeza Afisa wa Maendeleo kwa Ukusanyaji Bora wa Marejesho ya Mikopo

    June 10, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Aipongeza Halmashauri ya Ileje kwa Kupata Hati Safi

    June 10, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa