• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Samia Suluhu Hassan aapishwa kuwa Rais wa Tanzania

Imewekwa: March 19th, 2021

Tanzania ikiwa imeingia kwenye msiba mkubwa wa kuondokewa na Rais wake,tayari mikoba yake imeshachukuliwa na aliyekuwa Makamu wake Mhe. Samia Suluhu Hassan ambaye ameapishwa mapema leo Ijumaa 19/03/2021.

Akizungumza mara baada yakuapishwa kwake Mhe Suluhu amewataka Watanzania kusahau tofauti zilizopita na kuwa  wamoja katika kipindi hiki cha maombolezo ya kuondokewa na mmoja wa mashujaa wa Taifa hili aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati John Pombe Magufuli.

Rais huyu anayeandika historia ya kuwa mwanamke wa kwanza katika taifa hili na Afrika ya Mashariki kushika wadhifa wa juu kabisa kwa kuchukua nafasi ya urais baada ya kifo cha Mkuu wake ameonesha ukomavu wa uongozi katika hotuba yake fupi.

Baadhi ya mambo ya kuvutia katika hotuba yake ni pamoja na kushukuru makundi mbalimbali ya kijamii vikiwemo vyama vya kisiasa kwa jinsi vilivyoonesha kushitushwa na kifo cha Rais Magufuli aliyeingia madarakani mnamo mwaka 2015 kwa njia ya sanduku la kura  na kushinda tena kwa mara ya pili mwishoni mwa mwaka 2020.

Hotuba yake hiyo fupi imembatana na ratiba nzima ya namna mwili  wa marehemu Magufuli utakavyoagwa kuanzia Jumapili 21/3/2021 kule Dar es Salaam hadi siku ya mazishi huko Chato kwenye nyumba yake ya milele.

Hata hivyo mijadala ya msiba na kuapishwa bado haishi vinywani mwa Watanzania juu ya nani atachukua mikoba ya Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassani ili kujua kikosi kazi kitakuwaje kwa miaka hii kabla ya 2025.

Ikumbukwe kuwa Mhe.Samia Suluhu anakuwa Rais wa sita ikiwa ni Awamu  ya Tano iliyoanza 2015 akiwa ametanguliwa na wenzake watano ambao watatu kati yao wameshatangulia mbele ya haki.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa