• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

"Msizuie usajili wanafunzi wa Kidato cha Kwanza kwa kukosa sare" DC Ileje

Imewekwa: January 7th, 2021

Ileje-Songwe

Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya  Msimu wa Masomo 2021 kuanza Mkuu wa Wilaya ya Ileje Ndg.Joseph Mkude ameagiza wanafunzi wasizuiliwe kusajiliwa na kuanza masomo kwasababu ya kukosa sare.

Akizungumza wakati wa ukaguzi wa maandalizi ya kupokea wanafunzi hao katika Sekondari ya Itumba Mkude amesema kuwa uzoefu unaonesha kuwa wanafunzi wengi huchelewa kusajiliwa na kuanza masomo ya Kidato cha Kwanza pamoja na Darasa la Kwanza katika Wilaya yake kwasababu ya kukosa sare za shule.

Ameongeza kuwa si sare tu zimeonekana kuwa kikwazo bali hata michango mingine ikiwemo ile ya chakula ambayo amesema isiwe chanzo cha kutowasajili watoto hao .

“Watoto wasizuiliwe kusajiliwa kwasababu ya kutokuwa na sare,wasajiliwe kwanza huku wazazi na walezi wakiendelea kuwakamilishia mahitaji yao mengine hii inatusaidia kupata taarifa sahihi za wanafunzi”.

Amesema,kutowasajili wanafunzi mapema hukwamisha upatikanaji wa takwimu sahihi na kwa wakati  kwa manufaa ya wilaya na Taifa kwa ujumla.

Hata hivyo,Mkude amekiri kuwa kutokuwa na sare kutaweza kupunguza mwonekano wa uanafunzi lakini utasaidia kupata takwimu sahihi mapema.

Akizumgumzia maandalizi ya mapokezi ya Kidato cha Kwanza mwaka huu 2021 Ndg.Haji Mnasi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo amesema kuwa maandalizi yanakwenda vema wanatumia muda mrefu katika maeneo ya kazi ili upungufu wa vyumba tisa vya madarasa ukamilishwe kabla ya masomo kuanza.

Jumla ya wanafunzi 1800 wanatarajiwa kuanza kidato cha Kwanza kwenye shule 24 za serikali na 3326 Darasa la Kwanza kwenye Shule zote 83 za Msingi wilayani humo

 Hadi sasa Wialaya ya Ileje ina jumla ya Shule za Sekondari 22 zikiwemo za serikali 19 na 3 za

Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 09, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • UZINDUZI WA UJENZI WA BARABARA ISONGOLE – ISOKO WILAYANI ILEJE

    June 13, 2025
  • Wazazi Watakiwa Kuwalinda Watoto na Kuwezesha Ndoto Zao

    June 13, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Ampongeza Afisa wa Maendeleo kwa Ukusanyaji Bora wa Marejesho ya Mikopo

    June 10, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Aipongeza Halmashauri ya Ileje kwa Kupata Hati Safi

    June 10, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa