• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Msifiche Watoto walemavu watoe nje wapate elimu-DC Ileje.

Imewekwa: June 1st, 2018


Wakati sauti za mashirika mbalimbali na vyombo vya habari zikipazwa kutetea haki za watoto kote duniani Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mkoani Songwe amewataka wazazi kuwapeleka shule watoto wenye ulemavu ili waweze kupata elimu ambayo ni moja ya haki zao za msingi.

Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Wilaya Mhe. Joseph Mkude wakati akitoa baiskeli za tairi tatu kwa watoto wenye uhitaji maalamu (ulemavu wa viungo), Mkuu huyo wa Wilaya aliwataka wazazi na walezi kuhakikisha watoto wenye ulemavu hawafichwi majumbani kwani kwa kufanya hivyo ni kuendeleza vitendo vya unyanyasaji katika jamii.

“Watoto wa aina hiyo hawana budi kuendelezwa kielimu kwani wana vipaji mbalimbali ambavyo vikiendelezwa vitaleta manufaa si kwa familia zao bali hata kwa taifa zima” alisema Mteule huyo wa Rais.

Vifaa hivyo vilivyotolewa kupitia shirika lisilo la Kiserikali la IRADO lililopo Wilayani hapa,viligawiwa kwa baadhi wazazi nawalezi wa watoto toka  kata za Mbebe, Isongole, Chitete na Itale ikiwa ni sehemu ya baskeli 15 zilizotolewa siku hiyo.

 Akielezea hali ya vitendo vya unyanyasaji Wilayani humo Mkuu wa Wilaya alisema kuwa hakuna matukio ya unyanyasaji kwa watoto wenye ulemavu.

Afisa Elimu - Elimu Maalum (W) Mwalimu Bashiri Msegeya akielezea tukio la kutolewa kwa baiskeli hizo alisema kuwa hiyo ni hatua kubwa katika ukombozi kwa mtoto mwenye ulemavu.

Msegeya aliongeza kuwa Wilaya ya Ileje ina watoto 248 walio shuleni na watoto nane waliweza kujiunga na Elimu ya Sekondari hapo mwaka jana na wamekuwa wakiendelea na masomo.

Hivi karibuni Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2018 Ndugu Charles Kabeho alipongeza juhudi zinazofanywa na Wilaya ya Ileje kwa kutenga shule ya Msingi Ilulu kuwa kituo maalum cha kuhudumia walemavu.

Uchunguzi umebaini kuwepo kwa mahusiano mazuri ya kukomesha vitendo vya unyanyasaji wa binadamu kati ya Wilaya za Ileje-Tanzania na Chitipa-Malawi ambapo kwenye vikao vya Kiidara vya ujirani mwema wamekuwa wakijadili na kuweka mikakati ya kuwalinda walemavu wa ngozi(albino)na kuzuia biashara ya usafirishaji wa binadamu.s

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa