• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

MKUU WA MKOA WA SONGWE ASEMA; CHAPENI KAZI MSIOGOPE USHIRIKINA

Imewekwa: June 7th, 2017

CHAPENI KAZI MSIOGOPE USHIRIKINA-RC GALAWA

Na:Daniel Mwambene,Ileje

Watumishi wa Umma mkoani Songwe wametakiwa kujikita katika uchapaji kazi badala ya kuhofia kufanyiwa vitendo vya kishirikina katika maeneo yao ya kazi.

Wito huo,ulitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Songwe Luteni Mstaafu Mh.Chiku Galawa alipokuwa akizungumza na watumishi wa Idara ya Elimu wilayani Ileje kwenye ukumbi wa Mwala mjini Itumba akiwa katika ziara yake ya kikazi.

Akijibu kero na vikwazo mbalimbali vinavyokwamisha taaluma na kupelekea mkoa huo kufanya vibaya katika Mtihani wa Taifa Darasa la Saba 2016 kwa kuwa wa mwisho kitaifa Mh.Galawa alisema kuwa watalaam wa elimu  hawana budi kuondokana na hofu ya kufanyiwa vitendo hivyo ambavyo alisema kuwa vinajengwa na  dhana ya kufikirika.

Alisema kuwa dhana hiyo ikishakaa akilini huweza kuvuruga uwezo wa utendaji  kazi  wa mtu huku kila wakati akiwaza kama vile anafanyiwa vitendo hivyo na binadamu wenzake matokeo yake ni kuleta mahusiano mabaya na kutoaminiana kati yao na jamii inayowazunguka au baina ya watumishi.

Aliongeza kuwa,watumishi wamepelekwa katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Songwe kwa lengo la kuondoa na kupunguza imani kama hizo zinazokwamisha maendeleo.

Mh.Galawa alionesha masikitiko yake kwa watumishi hao jinsi walivyokuwa wakielezea baadhi ya matukio wanayoamini kuwa ni ya kishirikina wakihimiza kuwa yanachangia katika kukwamisha taaluma.

Awali baadhi ya walimu walimweza  Mkuu huyo wa Mkoa kuwa ushirikina katika wilaya ya Ileje kwa baadhi ya maeneo kimekuwa chanzo kikuu cha kushuka kwa kiwango cha elimu kwa kuwa walimu wengi wamekuwa wakiogopa kufanya kazi katika maeneo hayo.

Mkuu huyo wa Mkoa aliwataka watumishi hao kusimama katika imani zao za dini ambazo zinaamini Ukuu wa Mungu kuliko miungu wengine wakiwemo washirikina.

Baadhi ya walimu waliochangia katika kikao hicho walimpongeza Mh.Galawa kwa jinsi anavyofanya kazi ili kuujengea misingi  imara mkoa huo mpya wenye umri  zaidi ya mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwake ukimegwa toka mkoa wa Mbeya.

Mwalimu Robert Simbeye ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Walimu Wilayani Ileje alipongeza Mkuu wa Mkoa huyo kuwa licha ya kupigania maendeleo ya mkoa  pia ni ‘mama wa watu’ kwa jinsi anavyosikiliza na kutoa utatatuzi wa shida mbalimbali.

Pamoja na mambo mengine kiongozi huyo aliwataka watumishi  wote kuwa wabunifu katika kuyakbiri mazingira yao ya kazi na kuhakikisha kuwa wanakuwa chachu ya maendeleo ya wananchi.


Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa