• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

MKURUGENZI MTENDAJI AONGOZA KIKAO CHA CMT KUJADILI MAPATO

Imewekwa: September 4th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje, Bi Nuru Waziri Kindamba ameongoza kikao cha Menejimenti ya Halmashauri (CMT) kilichoshirikisha pia Watendaji wa Kata zote za Halmashauri hiyo.

Kikao hicho kimefanyika kwa lengo la kujadili masuala mbalimbali yanayohusu ukusanyaji na usimamizi wa mapato ya Halmashauri, ili kuhakikisha kuwa malengo ya makusanyo yanafikiwa kwa wakati na kwa ufanisi.

Kwa mwaka wa fedha 2024/2025, Halmashauri ya Wilaya ya Ileje ilifanikiwa kukusanya jumla ya shilingi 2,591,418,267.39, sawa na asilimia 111.15 ya makisio ya mapato ya ndani. Aidha, kwa mwaka wa fedha 2025/2026, Halmashauri inatarajia kukusanya jumla ya shilingi 3,311,221,000.00 kutoka katika vyanzo mbalimbali vya mapato vilivyopo ndani ya Wilaya.

Akizungumza katika kikao hicho, Bi Kindamba amewataka Watendaji wa Kata kushirikiana kwa karibu na viongozi wa vijiji na vitongoji ili kusimamia vyanzo vya mapato vilivyopo katika maeneo yao. Aidha, amesisitiza umuhimu wa ubunifu katika kuongeza mapato na kudhibiti upotevu wa fedha za umma.

Bi Kindamba pia amewataka Watendaji wa Kata kuwa wabunifu katika kuibua vyanzo vipya vya mapato, ili kuongeza mapato na kuhakikisha malengo yaliyowekwa kwa mwaka huu wa fedha yanatimizwa kwa kiwango cha kuridhisha.

Watendaji wa Kata kwa upande wao wameahidi kuimarisha juhudi katika ukusanyaji wa mapato na kushirikiana kikamilifu na menejimenti ya Halmashauri kuhakikisha maendeleo ya wananchi wa Ileje yanapatikana kupitia mapato hayo.

            



Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 09, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • OFISI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA YAENDESHA SEMINA KWA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA ILEJE

    September 04, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI AONGOZA KIKAO CHA CMT KUJADILI MAPATO

    September 04, 2025
  • JESHI LA MAGEREZA ILEJE LAADHIMISHA WIKI YA MAGEREZA KWA HUDUMA ZA JAMII

    August 26, 2025
  • NAIBU WAZIRI WA TAMISEMI AFUNGUA RASMI MASHINDANO YA SHIMISEMITA 2025 JIJINI TANGA

    August 23, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa