• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

MADIWANI ILEJE WAWEZESHWA KUJISOMEA KIDIJITALI

Imewekwa: December 23rd, 2021

Wahe.Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje wamepata mafunzo ya siku moja ya kuwajengea uwezo wa kujisomea kidijitali “MUKI”

Mafunzo hayo yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Halmashauri hiyo yameandaliwa na Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) kwa kushirikiana na PS3+ ambao ni Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Serikali kwa ufadhili wa (USAID)

Akizungumza kwenye mafunzo  Afisa Utumishi wa Halmashauri hiyo Ndg.Gilbert Mbowe alisema kuwa kupitia mafunzo hayo Wahe. Madiwani watajifunza sheria mbalimbali zinazowahusu,kuzijua kanuni na taratibu za usimamiaji na uendeshaji vikao,nidhamu na uongozi.

Mtalaam huyo aliongeza kuwa MUKI ambao ni Mfumo wa Ujifunzaji kwa njia ya Kielekroniki  (yaani Elimu Masafa) utawasaidia wahe.madiwani kujifunza wakati wowote na mahali popote.

Pamoja na mambo mengine madiwani watakapokuwa wamesoma na kujifunza mambo mbalimbali kupitia mfumo huu watakuwa na uwezo wa kujibu maswali na kutunukiwa vyeti kutoka chuo hicho cha Serikali za Mitaa Hombolo.

Mhe.Ubatizo Songa Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo amewashukuru watalaam wa Halmashauri kwa kufanikisha zoezi hilo ambalo lilikuwa ombi lao la muda mrefu mara baada ya kuchaguliwa mwishoni mwa mwaka jana.

Akizungumzia teknolojia ya kidijitali Mhe.Songa alisema kuwa,njia hiyo itapunguza gharama ambapo Wahe.Madiwani wangeweza kusafiri hadi chuoni Dodoma badala yake watasoma wakiwa huko Ileje.

Kutokana na kukua kwa matumizi ya teknolojia kutoka anolojia na kwenda dijitali hii ni hatua nyingine kwa Wahe.Madiwani wa halmashauri hiyo ambao walishaachana na matumizi ya makablasha ya makaratasi wakitwa wanatumia vishikwambi.

Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • MKURUGENZI ILEJE AONGOZA HAFLA YA KUWAAGA MADAKTARI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 31, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AWAPONGEZA WATENDAJI NA MAAFISA LISHE KWA KUPAMBANA NA UDUMAVU

    May 27, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AWAPONGEZA WATENDAJI NA MAAFISA LISHE KWA KUPAMBANA NA UDUMAVU

    May 27, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AWAKARIBISHA MADAKTARI BINGWA

    May 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa