• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Seconadary Education
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Tathmini
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Taaluma ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari

MADIWANI ILEJE WAWEZESHWA KUJISOMEA KIDIJITALI

Imewekwa: December 23rd, 2021

Wahe.Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje wamepata mafunzo ya siku moja ya kuwajengea uwezo wa kujisomea kidijitali “MUKI”

Mafunzo hayo yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Halmashauri hiyo yameandaliwa na Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) kwa kushirikiana na PS3+ ambao ni Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Serikali kwa ufadhili wa (USAID)

Akizungumza kwenye mafunzo  Afisa Utumishi wa Halmashauri hiyo Ndg.Gilbert Mbowe alisema kuwa kupitia mafunzo hayo Wahe. Madiwani watajifunza sheria mbalimbali zinazowahusu,kuzijua kanuni na taratibu za usimamiaji na uendeshaji vikao,nidhamu na uongozi.

Mtalaam huyo aliongeza kuwa MUKI ambao ni Mfumo wa Ujifunzaji kwa njia ya Kielekroniki  (yaani Elimu Masafa) utawasaidia wahe.madiwani kujifunza wakati wowote na mahali popote.

Pamoja na mambo mengine madiwani watakapokuwa wamesoma na kujifunza mambo mbalimbali kupitia mfumo huu watakuwa na uwezo wa kujibu maswali na kutunukiwa vyeti kutoka chuo hicho cha Serikali za Mitaa Hombolo.

Mhe.Ubatizo Songa Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo amewashukuru watalaam wa Halmashauri kwa kufanikisha zoezi hilo ambalo lilikuwa ombi lao la muda mrefu mara baada ya kuchaguliwa mwishoni mwa mwaka jana.

Akizungumzia teknolojia ya kidijitali Mhe.Songa alisema kuwa,njia hiyo itapunguza gharama ambapo Wahe.Madiwani wangeweza kusafiri hadi chuoni Dodoma badala yake watasoma wakiwa huko Ileje.

Kutokana na kukua kwa matumizi ya teknolojia kutoka anolojia na kwenda dijitali hii ni hatua nyingine kwa Wahe.Madiwani wa halmashauri hiyo ambao walishaachana na matumizi ya makablasha ya makaratasi wakitwa wanatumia vishikwambi.

Matangazo

  • MAJINA YA WAKUSANYA TAARIFA ANWANI ZA MAKAZI ILEJE March 04, 2022
  • Kuitwa kwenye usaili April 13, 2022
  • TANGAZO LA KAZI ILEJE DC March 11, 2022
  • MAJINA YA WAKUSANYAJI WA TAARIFA ZA ANWANI ZA MAKAZI AWAMU YA PILI ILEJE March 14, 2022
  • Tembelea Zote

Mpya

  • VIJANA ILEJE WAKOPESHWA TZSH.MILIONI 100,200,000 SIKU YA MAMA SAMIA

    March 19, 2022
  • TZSH.BILIONI 1.9 KUTOLEWA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WALEMAVU MKOANI SONGWE

    March 10, 2022
  • KASEKENYA AANZA ZIARA YA SIKU MBILI JIMBONI KWAKE ILEJE

    March 04, 2022
  • Serikali yatoa zaidi ya Milioni 400 upimaji viwanja 1800 kwa Wilaya ya Ileje

    February 01, 2022
  • Tembelea Zote

Video

VIVUTIO VYA UTALII HALMASHAURI YA WILAYA YA ILEJE
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • Matokeo ya kidato cha nne 2017
  • ILEJE SECONDARY SCHOOL
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL /YOUTUBE

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa