• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

lLEJE RIKA BALEHE WAPEWA ELIMU KUHUSU MAPAMBANO DHIDI YA VVU NA UKIMWI

Imewekwa: February 13th, 2020

Ileje-Songwe

Vijana wa rika balehe wilayani Ileje wametakiwa kujenga misingi ya tabia njema ili kufikia ndoto zao na kuepukana na vitendo visivyokubalika katika jamii.

Vijana hao wenye umri kati ya miaka 15-19 walipewa ujumbe huo wakati wa kikao cha siku moja kilichofanyika mjini Itumba kikitathimini matokeo na changamoto za Programu ya Ongea Redio inayolenga kupunguza maaambukizi ya VVU na UKIMWI.

Akizungumza na vijana wapatao 20 ambao ni viongozi vya klabu za shuleni na mtaani msimamizi wa program hiyo Ndg.Faustina Mwenda alisema mradi huo hauna budi kuleta matokeo chanya katika maeneo ambayo kuna klabu hizo bila kuathiri makundi ya aina hiyo yanayopambana na maambukizi ya VVU Na UKIMWI kama vile FEMA.

Alisema kuwa,elimu wanayoipata iwe kinga dhidi ya maadui wanaotaka kukwamisha ndoto zao ili taifa liweze kuwa na viongozi wenye afya njema na tabia nzuri.

Akizungumzia mradi huo Afisa Elimu Taaluma kwa shule za sekondari Mwl.Elimu Kaminyoge aliwataka wanafunzi kuwa makini katika matumizi ya teknolojia ili kuepuka yale yanayoweza kuwaharibia tabia.

Kwa upande wao vijana hao,walieleza changamoto wanazokabiliana nazo katika kutekeleza program hiyo kuwa ni pamoja na kukosekana kwa mtandao wa simu wa kutosha katika baadhi ya maeneo.

Tatizo lingine ni mwingiliano wa ratiba zikiwemo za masomo kwa makundi ya shuleni pamoja na kupangiwa majukumu na wazazi kwa makundi ya uraiani.

Hata hivyo,mradi huo ulishindwa kuyafikia maeneo yote ya wilaya kwasababu ya kutofikiwa na masafa ya Redio ya Kijamii ya Ileje FM ambayo hurusha vipindi vya mradi huu pamoja na ufinyu wa bajeti kwa wafuatiliaji iwapo maeneo ya mbali na Makao Makuu ya Wilaya yangehusishwa.

Naye Mratibu wa Kuthibiti UKIMWI wilayani humo Ndg.David Gunza alisema kuwa mradi huo ungefanya vizuri zaidi kama ungekuwa na maandalizi ya kutosha na kuhusisha watu wengi kwani mradi huu haukuwa na maandalizi ya kutosh,hivyo ichukuliwe kama changamoto itakayoleta fursa kwa kipindi kijacho.

Ongea Redio inafanyakazi kazi katika Halmashauri nane kwa Tanzania Bara na Mikoa yote ya Tanzania Visiwani ikishirikiana na Tume ya Kuthibiti UKIMWI kwa Tanzania Bara,Tume ya UKIMWI Zanzibar pamoja na UNICEF.

Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 09, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • UZINDUZI WA UJENZI WA BARABARA ISONGOLE – ISOKO WILAYANI ILEJE

    June 13, 2025
  • Wazazi Watakiwa Kuwalinda Watoto na Kuwezesha Ndoto Zao

    June 13, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Ampongeza Afisa wa Maendeleo kwa Ukusanyaji Bora wa Marejesho ya Mikopo

    June 10, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Aipongeza Halmashauri ya Ileje kwa Kupata Hati Safi

    June 10, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa