• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Ileje yapata Hati Safi kwa miaka mitano mfululizo

Imewekwa: May 9th, 2021

Ikiwa imebaki takribani miezi miwili kabla ya mwisho wa Mwaka wa Fedha kumalizika Halmashauri ya Wilaya ya Ileje Mkoani Songwe imefikia asilimia 93.9% katika makusanyo ya Mapato Halisi ya Ndani huku ikiendele kupata Hati Safi kwa miaka mitano mfululizo.

Hayo yameelezwa kwenye Kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Halmashauri hiyo ukiwa ni mfululizo wa vikao hivyo kwa mujibu wa uendeshaji wa Serikali za Mitaa.

Kutokana na mafanikio hayo pongezi zimeendelea kutolewa na viongozi wa ngazi mbalimbali wakiemo viongozi wa kisiasa.

Arbert Sitma Katibu wa Chama cha Mapinduzi (C.C.M) alisema kuwa umoja na ushirikiano kati ya Wahe.Madiwani pamoja na watendaji wa serikali ni miongoni mwa mambo yaliyosaidia kuleta matokeo hiyo.

Katibu huyo akashauri mapato hayo hayana budi kuendelea kuwanufaisha wananchi wote kulingana na maeneo yao badala ya kuwanufaisha wachache hali inayoweza kuvunja moyo wangine katika utendaji wa kila siku.

Matias Mizengo Katibu Tawala wa Wilaya hiyo aliyezungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya hiyo  Ndg.Joseph Mkude alisema kuwa wao wakiwa wasimasimizi wa serikali za Mitaa wanaridhishwa na juhudi za Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo katika kukusanya na kudhibiti mianya ya ukwepaji ulipaji kodi kwa baadhi ya wafanyabiashara  wasio waaminifu.

Kupatikana kwa Hati Safi kwa miaka mitano mfululizo kumekuja Halmashauri hiyo ikiwa chini wa Mwenyekiti Mhe.Ubatizo Songa (Diwani wa Kata ya Bupigu) pamoja na Mkurugenzi Mtendaji Ndg.Haji Mnasi hali inayothibitisha umoja,mshikamano na uwezo wa kutatua changamoto ndani ya Halmashauri hiyo.

Awali Mhe.Songa aliwaagiza watendaji wa Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji kuhakikisha wanaendelea kutoa motisha kwa wakati kwa Watendaji wa Vijiji na Kata wanaofanya vema katika ukusanyaji na uwasilishaji wa mapato.

Haji Mnasi Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo,alikieleza kikao kuwa wameweza kufikia asilimia 93.9% hizo kutokana na mikakati mathubuti waliyojiwekea ikiwemo kuwachukulia hatua watenda wazembe,kufanya doria mara kwa mara ili kubaini wakwepaji wa kulipa ushuru pamoja na ushirikiano mzuri uliopo na Ofisi ya DC.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa