• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Ileje wapata Elimu ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake na watoto

Imewekwa: June 21st, 2020

Mafunzo ya siku tatu kwa wajumbe wa Kamati ya Mpango Mkakati wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya wanawake na watoto (MTAKUWWA) Wilaya ya Ileje Mkoani Songwe yamefanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya.

Akifungua mafunzo hayo Mkuu wa Wilaya hiyo Ndg.  Joseph Mkude alisema kuwa mafunzo hayo yamekuja kwa wakati mwafaka kwani bado vitendo vya ukatili vimekuwa vikiripotiwa katika jamii.

Mkude aliongeza kuwa licha ya kuwepo kwa vitendo vya kikatili dhidi ya wanawake na watoto pia baadhi ya wanaume hunyanyaswa na wake zao.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya hiyo Ndg.Haji Mnasi alisema kuwa wajumbe hao wanatarajiwa kupeleka elimu kwa jamii ili kuendeleza kupunguza ukatilii na kuyawezesha makundi hayo kuishi kwa amani

Afisa Maendeleo ya Jamii Ofisi ya Mkuu wa Mkoa aliyekuwa mwezeshaji  alisema kuwa lengo la mafunzo hayo ni kupunguza vitendo vya ukatili kutoka ngazi ya familia hadi taifa. Baadhi ya wajumbe waliomba serikali iongeze wigo wa kupokea matukio hata kwa wanaume kutokana na wanaume wengi kuona aibu kuripoti kwenye mamlaka husika juu ya ukatili wanaofanyiwa katika ndoa

Walisema kuwa wanaume wengi hukaa kimya wanapofanyiwa  ukatili na wake zao kwa lengo kulinda hadhi za uanaume.

Mafunzo hayo ya siku tatu yamefadhiliwa na Shirika la UNICEF yanalenga kuwafanya wanawake na watoto ambao ni wahanga wakuu wa ukatili katika jamii kuwa katika hali ya usalama.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa