• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Ileje wakutana na Malawi kujadili vita dhidi ya ebola

Imewekwa: October 21st, 2019

Wilaya za Ileje ya Tanzania na Chitipa ya Malawi zimefanya  kikao cha ujirani mwema kujadili namna ya kukabiliana na ebola iwapo inaweza kutokea.

Kikao hicho cha siku moja kilifanyika katika Ukumbi wa VIM uliopo Itumba Ileje kiliwakutanisha Wakuu wa Wilaya,wajumbe wa  Kamati za ulinzi na usalama na Wakuu wa idara wa pande zote mbili.

Mkuu wa Wilaya ya Ileje Ndg.Joseph Mkude alisema kuwa kikao hicho kililenga kubadilishana uzoefu wa namna kila upande ulivyojipanga  katika kukabiliana na ugonjwa wa ebola pindi unapoweza kutokea.

Alisema kuwa kumekuwa na mwingilano  mkubwa kati ya wananchi wa pande hizo mbili kiasi kwamba upande mmoja utakapoathirika upande mwengine hauwezi kusalimika.

Humfrey Gondwe Mkuu wa Wilaya ya Chitipa Malawi aliwataka wajumbe kuwa na mikakati ya kukabiliana na ebola  inayolenga kulinda utu wa mwafrika kama alivyokuwa akihimiza Hayati Mwl.J.K.Nyerere mwasisi wa Taifa la Tanzania.

Alisema kuwa Hayati Nyerere alikuwa kiongozi aliyeweza kuzipa kipaumbele shida za waafrika bila kujali mipaka akisema vita dhidi ya ebola ni ya waafrika wote.

Kikao hicho kiliweza kupokea taarifa kutoka kwa watalaam wa afya na makubaliano yalikuwa kila upande kwenda kutoa elimu ya kutosha kwa wananchi kwa kuhusisha makundi mbalimbali katika jamii kuhusu ugonjwa wa ebola.

Pamoja na mambo mengine Wamalawi waliendelea kuipongeza serikali ya Tanzania kwa ujenzi wa barabara ya Mpemba hadi Isongole kwa kiwango cha lami  wakisema kuwa itaongeza kasi ya maendeleo kwa wanachi wa pande hizo mbili.

Mhe.Nick Masebo Mbunge wa Jimbo la Chitipa North alisema kuwa hatua iliyofikiwa na Tanzania katika ujenzi wa barabara hiyo ni changamoto kwao hivyo kisiasa kuna mkakati wa kuunganisha barabara hiyo.

Kwa muda mrefu wilaya hizo zimekuwa zikikutana katika kujadili namna ya kuufanya mpaka huo kuwa makazi salama kwa raia wa pande.

Ikumbukwe kuwa hivi karibuni,Mhe.Rais Magufuli alifanya ziara nchini Malawi na kuongeza kasi  ya mahusiano ya kihistoria kwa mataifa  haya mawili ambayo watu wa mpakani wanafanana kwa lugha zao.

                                                  

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa