• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Ileje-Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe akagua shule kuona mapokezi ya Kidato cha Kwanza 2020

Imewekwa: January 7th, 2020

 “Michango ya wananchi kwenye miradi ya ujenzi si pesa tu,pokeeni hata vitu vingine zikiwemo hata nguvu zao zithamanisheni”RC wa Songwe Mhe.Brigedia Jenerali Mstaafu Nicodemas Mwangela.

Alitoa kauli hiyo wakati wa ziara ya siku moja ya kufungua shule za msingi na sekondari baada ya mapumnziko ya mwezi mmoja akiangalia mapokezi ya wanafunzi wa Kidato cha Kwanza kwa mwaka 2020.

Katika  ziara hiyo aliweza kutoa mifuko 80 ya saruji kwa shule nne za sekondari alizotembea ambazo ni Mbebe,Kakoma,Nakalulu na Itumba kila moja ikitarajia kupokea mifuko 20.

Akizungumza na katik Kata ya Mbebe RC Mwangela alisema kuwa kumekuwa na dhana potofu kwa baadhi ya viongozi na wananchi kuwa michango inayochangwa na wananchi baada ya kukubalina ni pesa tu hali aliyoipinga akisema ni upotoshaji.

Alisema kuwa,mwananchi anaweza kuchangia nguvu zake au vifaa vya ujenzi kama vile mbao na matofali na vitu hivyo havina budi kuthamanishwa ili kupata gharama za mradi.

Akizungumzia suala la kukamilisha majengo alisema viongozi hawana budi kukaa pamoja kwenye serikali za vijiji na kata katika kapanga mikakati ya ujenzi wa shule badala ya kusubiri kwanza matukio ya watoto kufaulu.

Kiongozi huyo aliweza kufurahishwa na uongozi wa Kata ya Isongole kwa jinsi wanavyoshirikiana na kuiweka wazi mipango yaujenzi wa shule huku akiutaka uongozi wa Kata ya Itumba na mambo yanavunja umoja na mshikamano miongoni mwa viongozi.

Kwa upande wao walimu walimweleza kiongozi huyo kuwa walishajipanga kupokea wanafunzi wa Kidato cha Kwanza ikiwemo kutumia vyumba vya akiba vilivyokuwepo pamoja na vyumba vya maabara kwa muda.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • KAMATI YA FUM YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI ILEJE

    May 19, 2025
  • Katika tarafa ya Bulambya, kamati hiyo ilikagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) katika hospitali ya wilaya – Itumba, ambapo halmashauri imepokea shilingi milioni 350 kwa ajili ya kukamilisha mradi huo ambao umefikia asilimia 80 ya ut

    May 19, 2025
  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa