• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

DED NNAUYE AKABIDHI OFISI KWA BI.NURU KINDAMBA

Imewekwa: June 15th, 2023

Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Ileje Mkoani Songwe Ndg.Geofrey Nnauye ameshakabidhi ofisi kwa Bi.Nuru Kindamba ambaye ni Mkurugenzi Mpya wa halmashauri hiyo .

Makabidhiano hayo yamekuja yakiwa ni matokeo ya uteuzi wa wakurugenzi watendaji pamoja na uhamisho kwa wengine ambapo Nnauye amehamia kuwa Mkurugenzi wa Mji wa Newala nafasi yake ikichukuliwa na Bi.Nuru Kindamba aliyeteuliwa kwa nafasi hiyo.

Akizungumza baada ya kukabidhi halmashauri nzima Nnauye aliwashukuru viongozi wote wa wilaya pamoja na wananchi wote kwa jinsi walivyompa ushirikiano katika muda wake huku akikiri juu ya ugumu wa nafasi hiyo nyeti katika mamlaka za zerikali za mitaa iwapo hekima,ushirikishwaji na uvumilivu hauwezi kupewa nafasi.

Katika muda wake amefanya mambo kadhaa ambayo viongozi wengine akiwemo Mkuu wa Wilaya pamoja na Mwenyekiti wa Halmashauri wanakiri kuwa aliyapigania kwa nguvu zake zote ikiwa ni pamoja na ujenzi wa shule ya wasichana ya Ileje,ghala la mazao linalojengwa kwa mapato ya ndani katika Kijiji cha Isongole,pamoja na utafutaji na ununuzi wa magari mapya ambapo sasa hali si mbaya.

Naye Mkurugenzi mpya wa halmashauri hiyo Bi.Nuru Kindamba ameshukuru kwa mapokezi aliyoyapata tangu kuwasili kwake wilayani humo huku akiahidi kufanya kazi sawa na miongozo ya nafasi yake hiyo huku akiomba ushirikiano uliokuwepo kwa DED anayeondoka uendelezwe kwake pia.

Akizungumza katika kikao hicho cha makabidhiano Mhe.Ubatizo Songa ambaye ni shuhuda wa lazima kisheria aliahidi kuendelea kufanya kazi bega kwa bega na Mkurugenzi huyu mpya katika kuleta maendeleo kwa wananchi.

Mabadiliko haya kwa wilaya ya Ileje yamefanyika pia kwa upande wa serikali Kuu ambapo Katibu Tawala amekuwa mpya yaani Ndg.Abdallah Ramadhan Mayombo akichukua nafasi ya Ndg.Mathias Mizengo.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa