• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

DED ILEJE ARIDHISHWA NA UJENZI WA MIRADI YA MAENDELEO

Imewekwa: December 8th, 2020

Katika kuhakikisha ujenzi wa miradi ya maendeleo unakwenda  vema Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje Mkoani Songwe Ndugu Haji Mnasi ametembelea  baadhi ya miradi hiyo na kupongeza hatua zilizofikiwa.

Miradi aliyotembelea ni pamoja na ukarabati wa vyoo vya standi ya Itumba ambayo ni Makao Makuu ya Wilaya,ujenzi wa Kituo cha Afya katika Kata ya Ndola,pamoja kushudia ubomoaji wa baadhi vyumba vya madarasa ili kupisha ujenzi mpya katika Shule ya Msingi Itale.

Akiwa katika stendi ya Itumba kiongozi huyo alimwagiza Afisa Mtendaji wa Kata hiyo kuhakikisha anakamilisha ukarabati huo ili kuwaondolea kero wananchi na kuepusha uwezekano wa kutokea kwa milipuko ya magonjwa .

Akiwa katika kata ya Itale ameelezwa na Afisa Mtendaji wa Kata hiyo Bi Mary Konga kuwa mapema leo tangu saa 12.00 zaidi ya wakazi 100 wa kijiji cha Itale wamefika shuleni hapo na kushirika ubomoaji wa vyumba viwili vya madarasa ili kupisha ujenzi mpya.

Pia akiwa kwenye shule shikizi ya Igwilizya iliyo chini ya Shule ya Msingi Itale pia alifurahishwa kwa kasi ya ujenzi pamoja na ubora wa majengo.

Viongozi wa kijiji hicho wamepongeza serikali kwa jinsi inavyotoa pesa kwaajili ya miundombinu ya shule hali waliyoielezea kuwa itachangia kuinia kiwango cha elimu huku wakiomba serikali iendelee kutoa ajira kwa walimu ili kuziba mapengo yaliyiachwa na wastaafu wengi.

Pia ziara hiyo ilimwezesha kufika hadi kwenye Shule Binafisi ya Shangwale iliyopo katika Kijiji cha Iwala na kukutana na uongozi wa shule hiyo kasha akawapongeza kwa jinsi wanavyoshiriki katika kuwaendeleza kielimu watoto wa Ileje na Watanzania kwa ujumla.

Mkuu wa shule hiyo Mwl.Clement Jewe alimweleza Mkurugenzi huyo kuwa licha ya shule  hiyo kufanya vizuri katika mitihani mbalimbali bado haijafikiwa na umeme wa gridi ya taifa.

Hadi sasa wilaya ya Ileje ina jumla ya shule za sekondari 22 zikiwemo za binafisi tatu ambazo ni Consolata,Mbagatuzinde pamoja hii ya Shangwale ilioanzishwa miaka ya hivi karibuni.

Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • MKURUGENZI ILEJE AONGOZA HAFLA YA KUWAAGA MADAKTARI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 31, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AWAPONGEZA WATENDAJI NA MAAFISA LISHE KWA KUPAMBANA NA UDUMAVU

    May 27, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AWAPONGEZA WATENDAJI NA MAAFISA LISHE KWA KUPAMBANA NA UDUMAVU

    May 27, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AWAKARIBISHA MADAKTARI BINGWA

    May 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa