• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

DC GIDARYA WA ILEJE AONGOZA KIKAO KAZI CHA VIONGOZI WA KATA NA VIJIJI

Imewekwa: October 10th, 2021

Katika kuhakikisha kuwa mnyoroo wa maendeleo wilayani Ileje unaunganishwa vema kutoka ngazi ya wilaya hadi kwa mwananchi mmoja mmoja Mkuu wa  Wilaya hiyo amefanya kikao na viongozi wa vijiji na kata.

Kikao hicho cha siku moja kimefanyika katika Ukumbi wa Sekondari ya Itumba kimeweza kuwakutanisha Kamati ya Usalama,Wah.Madiwani,Wakuu wa Idara na Vitengo,Watendaji wa Vijiji na Kata pamoja na Wenyeviti wa Vijiji.

                         Yaliyojiri katika kikao hicho:

  • Wenyeviti wa Vijiji waliweza kuwasilisha kero mbalimbali yakiwemo malalamiko ya kutopata posho za madaraka,asilimia za vijiji na upungufu wa watumishi.
  • Kero ya watendaji wa kata na vijiji kutopewa asilimia ya motisha iliyopitishwa pale wanapowasilisha mapato.
  • Ubovu wa miundombinu ya barabara hususani barabara ya Sapanda/Luswisi kunakozalishwa mbao laini kwa wingi.
  • Kutotembelewa kwa baadhi ya maeneo na viongozi mbalimbali.

              Kutolewa kwa majibu ya kero zilizotolewa

       Maafisa kutoka Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya waliweza kutolea     maelezo na majibu juu ya kero zilizokuwa zimetolewa hawa ni pamoja na Afisa Utawala na Utumishi,Afisa Kilimo Umwagiliaji na Ushirika,Mweka Hazina pamoja na Afisa Mifugo na Uvuvi.

Aidha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Ndg.Geofrey Nauye pamoja na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Ubatizo walitoa ufafanuzi wa masuala kadhaa yaliyokuwa yameulizwa.

Pia Wahe.Madiwani waliweza kutoa maelezo juu ya kero zilizokuwa zimewasilishwa zikilenga maeneo yao.

               Alichokisema Mkuu wa Wilaya kuhusu kikao hicho

“Kikao hiki ni muhimu kwetu kwani sisi ni watekelezaji na wasimamizi wa mipango ya serikali na wananchi ni mabosi wetu,tupo hapa wote ili tutoke na uelewa wa aina moja ili tuweze kuwahudumia vizuri hawa wananchi ambao huweka serikali madarakani”DC wa Ileje Mhe.Anna Gidarya.

                                   Maagizo ya DC Gidarya kwa viongozi hao:

  • Viongozi wote kuhakikisha wananchi wanasomewa mapato na matumizi ya vijiji pamoja na fedha za miradi ya maendeleo.
  • Suala la usafi wa mazingira ukiwemo ujenzi wa vyoo bora ambayo ni kampeni inatakiwa isimamiwe na kila kiongozi na ukaguzi utaanzia kwa  viongozi hao.
  • Kwenda kutoa elimu kwa wananchi matumizi sahihi ya barabara hususani ya Mpemba/Isongole baada ya ajali kutokea mara kwa mara nyingi zikisababishwa na mikokoteni inayokokotwa na ng’ombe
  • Kuwabana wachafuzi wa barabara hiyo ya Mpemba/Isongole wanaochafua kwa ulaji wa miwa usizingatia usafi wa mazingira.
  • Wito wa kujiandaa juu ya zoezi la Sensa ya Watu na Makazi itakayofanyika hapo mwakani.
  • Kuwaagiza viongozi hao kwenda kutoa elimu juu ya chanjo ya UVIKO-19 na kuondoka na dhana finyu juu ya propaganda zinazopigwa na baadhi ya watu.
  • Kwenda kutoa elimu kwa wananchi juu ya lishe ili kuondokana na udumavu unaowakumba wakazi wengi wa Mkoa wa Songwe.
  • Watendaji wa Vijiji na Kata wenye madai walipwe posho zao ili kuwapa moyo wa kufanya kazi ukiwemo ukusanyaji wa mapato ya ndani.
  • Hakikisheni hamtelekezi miradi ya maendeleo  katika maeneo yenu kwani ninyi mnategemewa na wanachi kwa kila jambo.
  • Watendaji wengi wa vijiji na kata ni vijana na wapo kwenye vijiji mbavyo wenyeviti wake ni wazee,hivyo akawataka masikio yasizidi masikio kwa kuwadharau viongozi hao.
  • Kwa ujumla kikao hicho kimewawezesha viongozi hao kupata mwelekeo wa uongozi wa Mkuu wa Wilaya hiyo.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa