• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

DC GIDARYA AMKABIDHI OFISI DC FARIDA MGOMI WA ILEJE

Imewekwa: February 5th, 2023

Wakati makabidhiano ya Ofisi za Wakuu wa Wilaya yakiendelea hapa nchini Mkuu wa Wilaya ya Ileje mkoani Songwe amekabidhiwa ofisi yake ikiwa ni pamoja na sekondari ya wasichana ya ‘Ileje Girls’ iliyofunguliwa siku chache zilizopita.

Mhe.Farida Mgomi  Mkuu mpya wa Wilaya hiyo akikabidhiwa wilaya hiyo kwa maandishi kutoka kwa Mhe.Anna Gidarya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya hiyo aliombwa kuangalia kwa jicho la pekee shule hiyo mpya iliyopo kaktika Kata ya Chitete akieleza kuwa alikuwa ameiwekea nadhiri kuhakikisha inakuwa chachu ya ukombozi wa mtoto wa kike wilayani humo.

Mhe.Gidarya aliyehamishiwa wilaya ya Busega alimwomba mkuu huyo wa wilaya kuendeleza juhudi za kuwasaidia watoto wa kike kupitia shule hiyo pekee ya kike wilayani humo.

Akizungumza mara baada ya makabidhiano hayo Mhe.Mgomi ameshukuru kwa kuaminiwa na Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Kiranja Mkuu wa watumishi wote wilayani humo

Aliongeza kuwa peke yake kamwe hawezi kuiendeleza wilaya isipokuwa kwa umoja,ushirikiano na mshikamano baina yake,viongozi wengine na wananchi kwa ujumla.

Mhe.Mohamed Mwala Diwani wa Kata ya Itumba akizungumza kwa niaba ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya aliunga kauli ya Mkuu wa  Mkoa wa Songwe Mhe.Waziri Kindamba aliyoitoa wakati wa kuwaapisha Wakuu wa Wilaya  kwa niaba ya Mhe.Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan juu ya kujiepusha kurithi maadui

Alisema kuwa nafasi zao za kazi hazina budi kuzingatia weredi na imani kwa Mhe.Rais wakati wa kuwatumikia wananchi pasipo kuwa na ubaguzi wa aina yoyote ile.

Makabidhiano hayo yalifanyika katika ofisi za Mkuu wa Wilaya zilizopo Itumba yakishuhudiwa na vingozi mbalimbali wa serikali na Chama cha Mapinduzi (CCM)

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa