• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Division
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Industry, Trade and Investment
      • Health social welfare and nutrition service
      • Elimu Msingi
      • Planning and Coordination
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Taaluma ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Finance and accounts
      • Sports, Culture and arts
      • Government communication
    • Wards
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari

DC FARIDA MGOMI ARIPOTI ILEJE,AANZA KAZI MARA MOJA

Imewekwa: January 31st, 2023

Mkuu mpya wa Wilaya ya Ileje Mhe.Farida Mgomi ameripoti leo Januari,31,2023 wilayani humo tayari kwa kazi baada ya kuteuliwa hivi karibuni na kuapishwa jana Jumatatu Januari 30,2923 kule Vwawa mkoani.

Akizungumza katika ofisi yake hiyo mpya na viongozi wa wilaya waliofika kumpokea Mhe.Mgomi amesema kuwa anapenda sana mfumo wa utendaji kazi unaowafikia wananchi ili kuweza kubaini changamoto zao na kuzitafutia ufumbuzi.

Ameongeza kuwa nafasi yake inampa mamlaka ya kusimamia shughuli zote za kiserikali ili wakazi  wa Ileje waweze kuona matokeo chanya ya mipango ya serikali inayoongozwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) chini ya Dkt.Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Pamoja na mambo mengine ametoa mwelekeo kuwa anapenda pia kufanya kazi kitimu,kiweledi na kudiriki badala ya kukata tamaa kwa kutafuta visingizio.

Ikumbukwe  kuwa hivi karibuni Mhe.Rais Samia aliteua na kuhamisha baadhi ya wakuu wa wilaya ambao  wanaendelea kula viapo na kuripoti katika vituo vyao vya kazi ili kuendelea kuwatumikia watanzania.

Katiaka mabadiliko hayo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mhe.Anna Jolam Gidarya amehamishiwa katika Wilaya ya Busega mkoani Simiyu..

Matangazo

  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA WILAYA ILEJE December 23, 2022
  • Orodha ya waliopata viwanja Isongole Ileje hii hapa September 13, 2022
  • BEI ZA VIWANJA VYA MPAKANI ISONGOLE- ILEJE HIZI HAPA August 03, 2022
  • Tembelea Zote

Mpya

  • SERIKALI YATOA BILIONI 5.7 UJENZI WA BARABARA MGODI WA MAKAA YA MAWE KIWIRA ILEJE

    March 22, 2023
  • Nendeni mtumie pikipiki hizi kuwafikia wananchi

    February 23, 2023
  • "Funikeni visima vyote vilivyo wazi ili kuwaepushia majanga watoto"DC Farida Mgomi wa Ileje

    February 19, 2023
  • "Mikutano ya vijiji hupunguza kero kwa wananchi".Nendeni mfuatilie iwapo inafanyika

    February 07, 2023
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • Matokeo ya kidato cha nne 2017
  • ILEJE SECONDARY SCHOOL
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL /YOUTUBE

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa