• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Afisa Mazingira wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje Akabidhi Mizinga 95 kwa Vikundi vya Maendeleo Kata ya Malangali

Imewekwa: April 25th, 2025

Katika jitihada za kuendeleza shughuli za Kiuchumi na kulinda Mazingira, Afisa Mazingira wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje,Frank Kisanga kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Ileje , amekabidhi Msaada wa Mizinga 95 ya kufugia nyuki kwa vikundi vya Maendeleo katika Kata ya Malangali wilayani hapa.

Msaada huo unaofadhiliwa na Joint Songwe River Basin Commission, shirika linalojihusisha na usimamizi na uendelezaji wa rasilimali za maji na mazingira katika bonde la mto huo. umekabidhiwa mapema leo April 25,2025 huku  Lengo kuu likiwa ni  kuwawezesha Wananchi Kiuchumi kwa njia endelevu kupitia shughuli za Ufugaji nyuki, ambazo huchangia pia katika utunzaji wa mazingira.

Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo, Afisa Mazingira alisema kuwa ufugaji nyuki ni mojawapo ya njia bora ya kuongeza kipato kwa jamii, hasa kwa maeneo ya vijijini, huku pia ikisaidia kuhifadhi mazingira kwa kuhamasisha upandaji miti na kutunza misitu. Alisisitiza kuwa Halmashauri itaendelea kushirikiana na Mashirika ya Maendeleo kama Joint Songwe River Basin Commission ili kuleta maendeleo kwa Wananchi wake.

Katika hatua nyingine ,Kisanga  aliwataka wanavikundi wanaopokea mizinga hiyo kuitunza kwa matumizi sahihi, kwa kuhakikisha kuwa wanaitumia kama njia ya kujiletea maendeleo na si vinginevyo. Alitoa wito wa usimamizi madhubuti wa mizinga hiyo ili iweze kutoa matokeo chanya kwa muda mrefu.

 Kwa upande wao, baadhi ya wanavikundi walioshuhudia makabidhiano hayo walitoa shukrani kwa Halmashauri na Wafadhili kwa Msaada huo, huku wakiahidi kuutumia kama kichocheo cha mabadiliko chanya ya kiuchumi kwao na jamii zao kwa ujumla. Msaada huu unatarajiwa kuwa na mchango mkubwa katika kuinua hali ya maisha ya wananchi wa Kata ya Malangali, sambamba na kuchangia juhudi za kulinda mazingira ya Bonde la Mto Songwe.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa