• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Seconadary Education
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Tathmini
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Taaluma ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari

Utaratibu wa kutoa Shahada ya Dharura ya safari ya nje ya nchi

Utaratibu wa kutoa Shahada ya Safari ya Dharura.

Muombaji aliye chini ya miaka 35(1980+).

Muombaji wa Hati ya Dharura (ETD)aliye chini ya umri wa miaka 35 anatakiwa alete hati zifuatazo

Waombaji wa Shughuli binafsi;

1.Cheti cha Kuzaliwa.

2.Cheti cha Kumalizia Shule.

3.Ubatizo.

4.Leseni za udereva.

5.Hati ya Biashara.

6.Barua ya mwajiri kwa walioajiriwa na kitambulisho cha kazi.

7.Barua ya Mwenyekiti wa Mtaa kwa utambulisho wa makazi.

8.Kadi ya Kura.

9.Kitambulisho cha Taifa.

10.Kitambulisho cha ukaazi.


Waombaji kwaajili ya Matembezi;

1.Cheti cha Kuzaliwa.

2.Cheti cha Kumalizia Shule.

3.Ubatizo.

4.Leseni za udereva.

5.Hati ya Biashara.

6.Barua ya mwajiri kwa walioajiriwa na kitambulisho cha kazi.

7.Barua ya Mwenyekiti wa Mtaa kwa utambulisho wa makazi.

8.Kadi ya Kura.

9.Kitambulisho cha Taifa.

10.Kitambulisho cha ukaazi.


Waombaji kwaajili Wanafunzi;

1.Cheti cha Kuzaliwa.

2.Barua ya shule au chuo na kitambulisho cha mwanafunzi.

3.Barua ya udahili(wito)

4.Kitambulisho cha Taifa.

Kwa waombaji walio chini ya miaka 18 watatakiwa kuleta barua ya idhini ya mzazi au mlezi halali pia barua ieleze madhumuni ya safari na namba ya simu ya mzazi au mlezi.


Matangazo

  • MAJINA YA WAKUSANYA TAARIFA ANWANI ZA MAKAZI ILEJE March 04, 2022
  • Tangazo la ajira Ileje DC May 24, 2022
  • Tembelea Zote

Mpya

  • VIJANA ILEJE WAKOPESHWA TZSH.MILIONI 100,200,000 SIKU YA MAMA SAMIA

    March 19, 2022
  • TZSH.BILIONI 1.9 KUTOLEWA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WALEMAVU MKOANI SONGWE

    March 10, 2022
  • KASEKENYA AANZA ZIARA YA SIKU MBILI JIMBONI KWAKE ILEJE

    March 04, 2022
  • Serikali yatoa zaidi ya Milioni 400 upimaji viwanja 1800 kwa Wilaya ya Ileje

    February 01, 2022
  • Tembelea Zote

Video

VIVUTIO VYA UTALII HALMASHAURI YA WILAYA YA ILEJE
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • Matokeo ya kidato cha nne 2017
  • ILEJE SECONDARY SCHOOL
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL /YOUTUBE

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa