• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Division
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Industry, Trade and Investment
      • Health social welfare and nutrition service
      • Elimu Msingi
      • Planning and Coordination
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Taaluma ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Finance and accounts
      • Sports, Culture and arts
      • Government communication
    • Wards
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari

Jinsi ya Kufika Wilaya ya Ileje Mkoa wa Songwe

Jinsi ya Kufika Wilayani Ileje Mkoani  Songwe

Ukitaka kufika wilayani Ileje kuna njia kadhaa unazoweza kuzitumia;


1.Mpemba-Isongole-Itumba (Makao Makuu ya Wilaya)

Mpemba ni kituo kilichopo njiapanda ya kwenda Ileje katika barabara kuu ya Mbeya-Tunduma.

Hii ni maarufu kuliko barabara zote za wilaya hii kwani  huunganisha na wilaya ya Kyela kwa kupitia Isongole-Ndembo-Kyela.

Hii pia hutumiwa sana na watu wanaokwenda Malawi kupitia mpaka wa Isongole,ikitumiwa sana na wafanyabiashara wa nafaka hususani mahindi toka soko la kimataifa la Isongole chini ya Wakala wa Hifadhi ya Chakula(NFRA).

Hupitika mwaka mzima ila wakati wa masika kuna baadhi ya maeneo ni sumbufu.

Hatua za awali za ujenzi kwa kiwango cha lami zilishaanza na kambi lipo katika kijiji cha Ikumbilo Kata ya Chitete.


2.Vwawa-Ilembo-Hezya-Mlale-Itumba.

Njia hii ni ya mkato kwa wanaosafiri kati ya Vwawa(Makao Makuu ya Mkoa wa Songwe) kwenda Itumba(Makao Makuu ya Wilaya ya Ileje)

Ni kiungo muhimu kati ya Wilaya ya Ileje mkoa na Wilaya ya Mbozi ikitumiwa zaidi kwa shughuli za kikazi.

Imejengwa kwa kiwango cha changarawe ikipitika mwaka mzima


3.Njiapanda ya Iyula-Kijiji cha Iyula-Mlale-Itumba:

Hutumiwana wasafiri wa kwenda Mbeya ikiunaganishwa na barabara kuu ya Mbeya –Tunduma.

Ni nzuri zaidi kuitumia wakati wa kiangazi kwani wakati wa masika kuna maeneo korofi katika Wilaya ya Mbozi.


4.Mbalizi-Ilembo (Mbeya Vijijini)-Iwiji-Itumba(Makao Makuu ya Wilaya).

Barabara hii hutumiwa na wanaokuja Ileje wakielekea Kata za Ngulilo,Itale,Ibaba na Ndola.

Ni maarufu sana kwa kusafirisha mazao ya mbao,abiria na bidhaa.

Wakati wa masika kile kipande cha Isangati(Mapengo) Mbeya Vijijini hadi Ngulilo(Ileje) na kile cha Shigamba(Mbeya Vijijini) hadi Ibaba(Ileje)zimekuwa hazipitiki vema hasa kwa magari ya mizigo.


5.Njia ya KKK-Ikuti(wilaya ya Rungwe)-Luswisi-Lubanda-Sange-Katengele-Ibungu-Isongole-Itumba(Makao Makuu ya Wilaya).

Hutumiwa na wasafiri wanakuja Ileje kwenda  kata za Luswisi,Lubanda,Sange Ngulugulu,Kafule na Kalembo.

Kwa  mtu anayetokea Mbeya akiwa hana shida Makao Makuu ya wilaya hana  budi kutumia njia hii.

Ni moja ya njia zenye milima na miteremko mikali ikiwa ikileta shida wakati wa masika kwa baadhi ya maeneo.

Pia hutumiwa na wafanyabiashara wengi wa mbao toka maeneo hayo.


6.Kasumulu (Kyela)-Ndembo-Isongole-Itumba(Makao Makuu ya Wialaya)

Ni kiunganishi kikubwa kati ya Ileje ne Kyela hasa kwa wafanyabiashara  wakiwemo wale wa nyungo toka kata za Ikinga,Kafule na Malangali.


7.Mbilima-Chitipa (Malawi) hadi Isongole-Ileje(Tanzania)

Hii njia ni mlango wa kuingia na kutokea Tanzania na Malawi.

Ni moja ya barabara zenye kutoa matarajio makubwa kwa wilaya hii mara zitakapounganishwa kiwango cha lami huku Tanzania kazi za awali zikiwa zimeanza.



Matangazo

  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA WILAYA ILEJE December 23, 2022
  • Orodha ya waliopata viwanja Isongole Ileje hii hapa September 13, 2022
  • BEI ZA VIWANJA VYA MPAKANI ISONGOLE- ILEJE HIZI HAPA August 03, 2022
  • Tembelea Zote

Mpya

  • "Mikutano ya vijiji hupunguza kero kwa wananchi".Nendeni mfuatilie iwapo inafanyika

    February 07, 2023
  • DC GIDARYA AMKABIDHI OFISI DC FARIDA MGOMI WA ILEJE

    February 05, 2023
  • DC FARIDA MGOMI ARIPOTI ILEJE,AANZA KAZI MARA MOJA

    January 31, 2023
  • MIILI YA WALIMU WALIOFARIKI KWA AJALI YA PIKIPIKI YAAGWA ILEJE

    January 30, 2023
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • Matokeo ya kidato cha nne 2017
  • ILEJE SECONDARY SCHOOL
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL /YOUTUBE

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa