• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Seconadary Education
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Tathmini
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Taaluma ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari

Utaratibu wa kutoa Shahada ya Dharura ya safari ya nje ya nchi

Utaratibu wa kutoa Shahada ya Safari ya Dharura.

Muombaji aliye chini ya miaka 35(1980+).

Muombaji wa Hati ya Dharura (ETD)aliye chini ya umri wa miaka 35 anatakiwa alete hati zifuatazo

Waombaji wa Shughuli binafsi;

1.Cheti cha Kuzaliwa.

2.Cheti cha Kumalizia Shule.

3.Ubatizo.

4.Leseni za udereva.

5.Hati ya Biashara.

6.Barua ya mwajiri kwa walioajiriwa na kitambulisho cha kazi.

7.Barua ya Mwenyekiti wa Mtaa kwa utambulisho wa makazi.

8.Kadi ya Kura.

9.Kitambulisho cha Taifa.

10.Kitambulisho cha ukaazi.


Waombaji kwaajili ya Matembezi;

1.Cheti cha Kuzaliwa.

2.Cheti cha Kumalizia Shule.

3.Ubatizo.

4.Leseni za udereva.

5.Hati ya Biashara.

6.Barua ya mwajiri kwa walioajiriwa na kitambulisho cha kazi.

7.Barua ya Mwenyekiti wa Mtaa kwa utambulisho wa makazi.

8.Kadi ya Kura.

9.Kitambulisho cha Taifa.

10.Kitambulisho cha ukaazi.


Waombaji kwaajili Wanafunzi;

1.Cheti cha Kuzaliwa.

2.Barua ya shule au chuo na kitambulisho cha mwanafunzi.

3.Barua ya udahili(wito)

4.Kitambulisho cha Taifa.

Kwa waombaji walio chini ya miaka 18 watatakiwa kuleta barua ya idhini ya mzazi au mlezi halali pia barua ieleze madhumuni ya safari na namba ya simu ya mzazi au mlezi.


Matangazo

  • MALIPO YA WALIMU TAYARI,ORODHA HII HAPA January 08, 2021
  • MAJINA YA WATAKAOHUDHURIA SEMINA YA USIMAMIZI WA UCHAGUZI MKUU JIMBO LA ILEJE 2020 HAYA HAPA October 21, 2020
  • Vituo vya semina kwa makarani Uchaguzi Mkuu Jimbo la Ileje October 23, 2020
  • Vituo vya semina kwa Wasimamizi wa Vituo na Wasimamizi wasaidizi,(hawa ndo wanaotakiwa huhudhuria) October 23, 2020
  • Tembelea Zote

Mpya

  • DC wa Ileje asamehe wezi wa miche ya miti,asema somo limeeleweka

    January 24, 2021
  • "Msizuie usajili wanafunzi wa Kidato cha Kwanza kwa kukosa sare" DC Ileje

    January 07, 2021
  • DED ILEJE ARIDHISHWA NA UJENZI WA JENGO LA WAGONJWA WA NJE "OPD"

    December 24, 2020
  • Songwe wajiandaa kutekeleza Ilani ya Uchaguzi

    December 14, 2020
  • Tembelea Zote

Video

Mhe.Rais Magufuli awataka watalaam kutumia taaluma zao hapa nchini ,aruhusu ajira mpya
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • Matokeo ya kidato cha nne 2017
  • ILEJE SECONDARY SCHOOL
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL /YOUTUBE

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa