• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

ZIARA YA DC MGOMI KUKAGUA MIRADI YA ELIMU NA AFYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ILEJE

Imewekwa: February 28th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mheshimiwa Farida Mgomi, amewaongoza Wajumbe wa Kamati ya Usalama ya Wilaya, Katibu Tarafa ya Bulambya, Bi Irene Lymo , pamoja na Wataalamu na Wakuu wa Idara kutoka  Halmashauri ya Wilaya ya Ileje , kutembelea na kukagua utekelezwaji wa Miradi ya Afya na Elimu katika Wilaya ya Ileje.

Ziara hiyo imefanyika mapema leo Februari 27, 2025 ambapo Mkuu wa wilaya amewapongeza wasimamizi wa Miradi hiyo kwa kuzingatia Ubora, Ufanisi na Weledi ili kufanikisha miradi hiyo itakayoleta tija na ustawi kwa wananchi katika Wilaya hii.

Miradi iliyotembelewa na kukaguliwa siku ya leo ni pamoja na ujenzi wa Vyumba viwili vya Maabara Shule ya Sekondari Ibaba unaogharimu kiasi cha shilingi Million 34.9 ambapo Fedha kutoka Serikali Kuu ni Shilingi Milion 30, Fedha kutoka Halmashauri zikiwa ni shilingi Milion 4,960, 800 pamoja na Nguvu ya wananchi ambapo mpaka sasa umefikia  hatua ya ukamilishaji.

Ujenzi wa kituo cha afya Ndola unaogharimu kiasi cha shilingi Milioni 500,000,000/= Kutoka Serikali kuu , huku Halmashauri ikichangia kiasi cha Milion 85,000,000/=  pamoja na  Nguvu za Wananchi ili kukamilisha mradi huo zikiwa ni Shiling Laki Sita (600,000/=).

Aidha mheshimiwa Mgomi ametembelea na kukagua Mradi wa Ujenzi wa Vyumba viwili vya Maabara Shule ya Sekondari Ndola unaogharimu kiasi cha shilingi Milion 34.9 ambapo Fedha kutoka Serikali Kuu ni shilingi  Milion 30, fedha kutoka Halmashauri zikiwa ni shilingi Milion 4,960, 800 pamoja na Nguvu ya Wanaanchi  waliochangia shilingi Milion 5,160,000/=

Miradi iliyotembelewa na Kukaguliwa siku ya leo inatarajiwa kuleta ahueni kwa Wananchi  hii ikiwa ni  pamoja Uboreshaji wa Huduma za Afya  kwa kwa Mama na Mtoto pamoja na kuondoa umbali kwa w\Wananchi kupata huduma za afya, aidha  Miradi ya Elimu itasaidia wanafunzi kufanya vizuri katika masomo ya Sayansi na kuwa hazina kwa Taifa la Tanzania .

 Katika hatua nyingine Mkuu wa Wilaya ameishukuru Serikali kwa kuendelea kutoa Fedha zinazokamilisha Miradi mbalimbali ya Maendeleo katika Wilaya hii, aidha amewahimiza wasimamizi  wa miradi hiyo kuikamilisha kwa wakati ili ianze kutoa huduma kwa wananchi katika Wilaya ya Ileje.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa