• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

WANAOKWAMISHA NGOs ILEJE WAONYWA

Imewekwa: June 22nd, 2023

 Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mhe.Farida Mgomi amewanya watendaji wa serikali watakaokwamisha utendaji kazi wa mashirika yasiyo ya kiserikali NGOS.

Alitoa kauli hiyo wakati kikao cha siku moja kwenye Ukumbi wa Ofisi za Mkuu wa Wilaya alipokuwa akizungumza na baadhi ya mashirika hayo ikiwa ni pamoja na kufahamiana pamoja na kutoa taarifa za shughuli zao.

Alisema kuwa mashirika hayo yapo kwa mujibu wa sheria,hivyo ngazi zote za uongozi kuanzia watendaji wa vijiji hadi wilaya hawana budi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa vile mchango wao kwa serikali ni mkubwa katika kuwaletea maendeleo wananchi.

Pamoja na mambo mengine Mhe.Mgomi alishukuru wadau hao kwa kuwa na ushirikiano mkubwa na serikali yao katika Nyanja mbalimbali pamoja na matukio mengine.

Aliongeza kuwa kufanya hivyo wanachangia kupunguza mzigo serikali katika kuwahudumia wananchi wake,matokeo ya kazi zao katika wilaya ya Ileje yanaonekana hivyo akatoa wito kwa wadau hao kutoa taarifa juu ya yeyote anayewakawamisha

Hata hivyo,hakusita kuyaelekeza mashirika hayo kujikita kwenye majukumu yaliyopitishwa wakati wa kusajiliwa na kujiepusha kuwa wakala wa mambo yanayoweza kudhalilisha taswira mila na desturi zetu.

Kwa upande wao wadau hao waliishukuru serikali kwa mwaliko huo pamoja na ushirikiano wanaoupata toka ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya.

IRDO na HRNS ni baadhi ya wadau waliohudhuria kikao hicho ambacho kilikuwa na mjadala wa kimaboresho kiutendaji hususani kwenye shughuli zinazoweza kuingiliana.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa