• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Wananchi Ileje wavamia Hospitali ya Wilaya Siku ya Muungano

Imewekwa: April 30th, 2019

Wananchi wilayani Ileje wamesherehekea Siku ya Muungano mwaka huu kwa kuvamia Hospitali ya Wilaya hiyo wakiwa na majembe,sululu,sepetu na ndoo wakiuunga juhudi za serikali katika kuwaletea wananachi maendeleo.

Wakazi hao wakiongozwa na viongozi wao wa Serikali za Kata za Itumba,Isomgole,Ndola na Mlale waliweza kufikia hatua hiyo ikiwa ni kuunga mkono juhudi za serikali katika kuwaletea wananachi maendeleo yao baada ya Serilkali chini ya Mhe.Rais Magufuli kumwaga bilioni moja na milioni 500 kwaajili ya ujenzi huo.

Hapo awali Mkuu wa Wilaya hiyo Ndugu Joseph Mkude alitoa wito kwa wanachi kusherehekea Siku ya Muungano kwa kushiriki ujenzi wa hospitali hiyo hali iliyoonekana kuungwa mkono kwa mahudhurio makubwa.

Katika zoezi hilo lililochukua takribani masaa matatu lilihusu uchimbaji msingi kwa majengo yote manne,usombaji wa mchanga na uhamishaji wa bomba maji.

Upanuzi na ujenzi wa hospitali hiyo ya wilaya utakapokamilika unatarajiwa kuwa mkombozi kwa wananchi hao ambao hapo awali walikuwa wakisafiri zaidi ya kilometa 60 hadi hospitali ya Kanisa la Moraviani  ya Isoko pamoja na kwenda kutibiwa nchi jirani ya Malawi.

Mzee Nsajigwa Kibona mmoja wa wakazi wa Itumba alisema kuwa kwa miaka zaidi ya 50 aliyoishi hapo ameona mabadiliko makubwa katika hosiptali hiyo akiamini kuwa yatakwenda sanjali na ubora wa tiba.

Wilaya ya Ileje ina miradi kadhaa ya ujenzi vikiwemo vituo vya afya vya Ibaba na Lubanda pamoja na zahanati katika vijiji mbalimbali vikiwemo vya Izuba,Bwenda Mapogoro na Ilulu.

 

Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 09, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI ILEJE AFUNGUA SEMINA YA MAFUNZO YA MFUMO WA SIS

    January 14, 2026
  • PAKUA HAPA ORODHA YA MAJINA YA WASIMAMIZI, WASIMAMIZI WASAIDIZI NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA UCHAGUZI MKUU 2025 - JIMBO LA ILEJE

    October 21, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AWASHUKURU WADAU KWA KUIMARISHA SEKTA YA AFYA

    October 17, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE ASISITIZA ULINZI WA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

    October 16, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • YAMITOTO
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Toto Slot
  • KOI200
  • Toto Slot
  • DORA77
  • Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Slot Gacor
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • AXL777
  • situs toto
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • situs toto
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • situs toto
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200