• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Vyombo vya Habari Songwe vyatakiwa kuwafikia wakazi wa vijijini

Imewekwa: May 7th, 2021

Likiwa ni juma la Maadhimisho ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani waandishi wa habari mkoani Songwe wametakiwa kuwafikia wakazi wa vijijini ambao wanasongwa na mambo kadhaa yanayohitajika kupatiwa ufumbuzi na ngazi mbalimbali za uongozi.

Hayo yalisemwa na wadau mbalimbali wakati wa madhimisho ya siku hiyo yaliyofanyika kimkoa katika Ukumbi wa Radwelo Itumba Wilayani Ileje

Kaimu Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe.John Palingo ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Mbozi aliwataka wanachama wa Klabu ya Waandishi wa Habari wa Mkoa wa (Songwe Press Club)

Palingo alisema kuwa waandishi wa habari hawana budi kwenda kwa wananchi na kuandika habari za uchunguzi ambazo mara nyingi huwa mkombozi wa jamii na msaada kwa serikali kwa vile huja na  taarifa mpya zenye kusisimua.

Mohamed Mwala Diwani wa Kata ya Itumba na Mwandishi wa Habari mstaafu alisema kuwa waandishi wa habari hawana budi kwenda kwa wananchi wa vijijini kuibua habari badala ya kusubiri ziara za viongozi zinazoambatana na malipo hali aliyosema inamnyima mwandishi uhuru wa kueleza ukweli.

Kayolo Msongole Katibu wa MUJATA wilayani humo aliwataka wanahabari hao kujiepusha kuandika habari za uongo akisema kuwa hushusha hadhi ya taaluma,hata kama ni mwanahabari mmoja akiwa na tabia hiyo huweza kuchafua wengine wote na kupoteza uaminifu katika jamii.

Maadhimisho hayo yaliyofanyika kwa mara ya kwanza wilayani humo yalilenga kuwapa  fursa wadau wa habari pamoja na wananchi kutoa maoni yao juu ya utendaji wa vyombo vya habari katika mkoa wa Songwe.

Awali Mwenyekiti wa Klabu hiyo mkoani humo Ndg.Stephano Simbeye alimweleza Mgeni Rasmi kuwa waandishi wa mkoa huo wanapenda sana kuwafikia wakazi wa vijijini lakini wanakwama badala yake kusubiri misafara ya viongozi kutokana na uchanga wa Klabu ambayo ilianzishwamiaka michache iliyopita.

Kauli Mbiu ya mwaka huu katika Madhimisho ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani ni “Habari kwa Manufaa ya Umma’’

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa