• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Seconadary Education
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Tathmini
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Taaluma ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari

TZSH.BILIONI 1.9 KUTOLEWA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WALEMAVU MKOANI SONGWE

Imewekwa: March 10th, 2022

Wanawake, Vijana na Walemavu katika kujibu changamoto ya ukosefu wa mitaji, hususani wanawake Wajasiriamali.

Hayo yalibainishwa na Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe.Omary Mgumba, wakati akijibu kilio cha ukosefu wa mitaji na changamoto za mikopo ya wajasiriamali inayotolewa na Halmashauri nchini kwenye maadhimisho ya sherehe ya Siku ya Wanawake duniani ambazo zilifanyika kimkoa Ileje.

Mgumba alisema kuwa katika makisio ya Bajeti ya mwaka huu 2022/23 Mkoa huo unatarajia kutenga kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya Mikopo, ambapo jumla ya shilingi milioni 600 zitatolewa kwa wanawake.

 
Mgumba alisema amewaelekeza Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri zote za Mkoa huos kuacha kutoa mikopo ya kugawana umasikini bali waweke utaratibu mzuri wa kutoa mikopo kwa watu wachache, ili isaidie kutatua changamoto ya mitaji midogo.

Awali akisoma risala katika maadhisho hayo, Ofisa maendeleo ya Jamii Mkoa wa Songwe, Atusungukye Dzombe, amesema pamoja na jitihada za kutekeleza dhana ya usawa bado kundi la wanawake limeendelea kukabiliana na changamoto mbalimbali.

Matangazo

  • MAJINA YA WAKUSANYA TAARIFA ANWANI ZA MAKAZI ILEJE March 04, 2022
  • Tangazo la ajira Ileje DC May 24, 2022
  • Tembelea Zote

Mpya

  • VIJANA ILEJE WAKOPESHWA TZSH.MILIONI 100,200,000 SIKU YA MAMA SAMIA

    March 19, 2022
  • TZSH.BILIONI 1.9 KUTOLEWA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WALEMAVU MKOANI SONGWE

    March 10, 2022
  • KASEKENYA AANZA ZIARA YA SIKU MBILI JIMBONI KWAKE ILEJE

    March 04, 2022
  • Serikali yatoa zaidi ya Milioni 400 upimaji viwanja 1800 kwa Wilaya ya Ileje

    February 01, 2022
  • Tembelea Zote

Video

VIVUTIO VYA UTALII HALMASHAURI YA WILAYA YA ILEJE
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • Matokeo ya kidato cha nne 2017
  • ILEJE SECONDARY SCHOOL
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL /YOUTUBE

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa