• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

TUNAANZA KUPUNGUZA TATIZO LA MIMBA ZA UTOTONI AMBALO SONGWE INALO- DED KINDAMBA

Imewekwa: March 19th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje Bi. Nuru Waziri Kindamba amesema Wilaya ya Ileje na Mkoa kwa ujumla unapambana kuhakikisha tatizo la mimba za utotoni ambalo kwa muda mrefu lipo mkoani Songwe linapungua kama siyo kumalizika kabisa.

 

Mkurugenzi Kindamba ameyasema hayo leo Machi 19, 2024 wakati akiongea na ugeni kutoka Shirika la UNICEF pamoja na wawakilishi wa Ubalozi wa Canada nchini Tanzania ambao kwa pamoja wanafadhili miradi mbalimbali ndani ya wilaya hii. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje Bi. Nuru Waziri Kindamba amesema Wilaya ya Ileje na Mkoa kwa ujumla unapambana kuhakikisha tatizo la mimba za utotoni ambalo kwa muda mrefu lipo mkoani Songwe linapungua kama siyo kumalizika kabisa.

 

Mkurugenzi Kindamba ameyasema hayo leo Machi 19, 2024 wakati akiongea na ugeni kutoka Shirika la UNICEF pamoja na wawakilishi wa Ubalozi wa Canada nchini Tanzania ambao kwa pamoja wanafadhili miradi mbalimbali ndani ya wilaya hii.

 

Miongoni mwa mradi mkubwa ni GREAT ambao unalenga kuwezesha uelewa kwa vijana juu ya uzazi wa mpango pamoja na afya ya uzazi lakini sambamba na hilo ni kuwezesha jamii kupata elimu stahiki juu ya mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia.

 

“Tatizo la mimba za utotoni ambalo Songwe inalo tunaanza kupunguza sasa kwasababu vijana wajue sasa jinsi ya kujikinga na maambukizi ya Ukimwi lakini pia kutumia ngono salama ili kujikinga sasa na pia upatikanaji wa mimba za utotoni lakini pia kuondokana na hiyo tabia.” Amesema Mkurugenzi Kindamba.

 

Aidha katika hatua nyingine Mkurugenzi Kindamba amesema katika suala zima la kuwaongezea vijana uwezo tayari kuna namba kubwa ya vijana ambao wameshapewa mafunzo na wapo tayari kutoa mafunzo hayo kwa vijana wengine hii ikiwa ni hatua muhimu ya kuhakikisha kunakuwa na mwendelezo wa kuhakikisha elimu hii inafikia kundi kubwa la watu hususan vijana.

 

Akiwasilisha ripoti mbele ya wahisani, Josepha Mgimba ambaye ni Muuguzi katika Hospitali ya Mbebe wilayani hapa amesema tayari vijana 96 ambao hawajazaa wamefanikiwa kutumia njia ya uzazi wa mpango ambao miongoni mwao wanawake 46 na wanaume 50.

Miongoni mwa mradi mkubwa ni GREAT ambao unalenga kuwezesha uelewa kwa vijana juu ya uzazi wa mpango pamoja na afya ya uzazi lakini sambamba na hilo ni kuwezesha jamii kupata elimu stahiki juu ya mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia.

 

“Tatizo la mimba za utotoni ambalo Songwe inalo tunaanza kupunguza sasa kwasababu vijana wajue sasa jinsi ya kujikinga na maambukizi ya Ukimwi lakini pia kutumia ngono salama ili kujikinga sasa na pia upatikanaji wa mimba za utotoni lakini pia kuondokana na hiyo tabia.” Amesema Mkurugenzi Kindamba.

 

Aidha katika hatua nyingine Mkurugenzi Kindamba amesema katika suala zima la kuwaongezea vijana uwezo tayari kuna namba kubwa ya vijana ambao wameshapewa mafunzo na wapo tayari kutoa mafunzo hayo kwa vijana wengine hii ikiwa ni hatua muhimu ya kuhakikisha kunakuwa na mwendelezo wa kuhakikisha elimu hii inafikia kundi kubwa la watu hususan vijana.

 

Akiwasilisha ripoti mbele ya wahisani, Josepha Mgimba ambaye ni Muuguzi katika Hospitali ya Mbebe wilayani hapa amesema tayari vijana 96 ambao hawajazaa wamefanikiwa kutumia njia ya uzazi wa mpango ambao miongoni mwao wanawake 46 na wanaume 50.

 

 

Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 09, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AWATAKA WAKULIMA WA PARETO KUONGEZA UZALISHAJI

    July 01, 2025
  • Tanzania, Malawi na Zambia Wakutana Ileje Kukabili Magonjwa ya Mlipuko Mipakani

    July 02, 2025
  • UZINDUZI WA UJENZI WA BARABARA ISONGOLE – ISOKO WILAYANI ILEJE

    June 13, 2025
  • Wazazi Watakiwa Kuwalinda Watoto na Kuwezesha Ndoto Zao

    June 13, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa