• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

TALGWU Mkoa wa Songwe wapongeza serikali kwa kutopunguza mishahara wakati wa janga la Covid-19

Imewekwa: June 24th, 2020

Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU) Mkoani Songwe kimepongeza serikali ya Awamu ya Tano kwa kutopunguza mishahara ya watumishi wa umma  wakati huu wa janga la Korona kama yalivyofanya mataifa mengine.

Hosea Yusto Katibu wa Chama hicho alitoa pongezi hizo kwenye Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje wakati wa kikao cha siku moja alipokuwa akizungumza na wanachama toka Ofisi za Mkurugenzi Mtendaji wakati wa kugawa tesheti na kofia ambazo zingetumika kwenye maadhimisho ya Mei Mosi mwaka huu

Hosea alisema kuwa wakati baadhi ya mataifa Duniani yamepunguza mishahara ya watumishi ili kuelekeza nguvu katika mapambano dhidi ya gonjwa la Covid-19 serikali ya Tanzania haijafanya hivyo hali iliyosaidia kutoathiri maisha ya wafanyakazi,hivyo kuendelea na mipango yao ya kila siku.

Aliongeza kuwa kwa muda mrefu serikali haijatoa nyongeza za mishahara kwa watumishi wake kwa kuwa ilikuwa ikirekebisha mwachano mkubwa uliokuwepo baadhi wakipata zaidi ya milioni 30 huku wangine wakiambulia fedha kidogo wakati wote ni watumishi wa umma.

Kwa upande wao wananchama waliomba uongozi wa mkoa huo kuwa na uwezo wa kuchukua hatua za haraka kutetea haki za watumishi yakiwemo masuala ya kupanda vyeo kwa wenye sifa pamoja na kubadilishiwa mishahara kwa wakati.

Akifungua kikao hicho Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Ndg.Haji Mnasi alisema kuwa ataendelea kushirikiana na TALGWU katika kuhakikisha kuwa watumishi wa umma walio chini yake wanatatuliwa changamoto zao,hivyo kufanya kazi kwa ufanisi ili kuendana na kasi ya Serikali ya Awamu ya Tano.

 

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • KAMATI YA FUM YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI ILEJE

    May 19, 2025
  • Katika tarafa ya Bulambya, kamati hiyo ilikagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) katika hospitali ya wilaya – Itumba, ambapo halmashauri imepokea shilingi milioni 350 kwa ajili ya kukamilisha mradi huo ambao umefikia asilimia 80 ya ut

    May 19, 2025
  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa